Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
wakuu JF,
Kufuatana na taarifa zilizoko bungeni kuwa Mbarouk S Mbarouk hana sifa za ujaji, nimeonelea ni muda muafaka kwa kamanda Lema kumwekea kipingamizi kwenye shauri lake la rufaa mjini Arusha tarehe 20 sept.
Sababu ni kwamba hajakidhi vigezo vya kuwa jaji hata wa mahakama kuu as per constitution. Au km anajiona guilty ajitoe tu akamalizie llb yake kwa prof. Mbwete.
nawasilisha
Kufuatana na taarifa zilizoko bungeni kuwa Mbarouk S Mbarouk hana sifa za ujaji, nimeonelea ni muda muafaka kwa kamanda Lema kumwekea kipingamizi kwenye shauri lake la rufaa mjini Arusha tarehe 20 sept.
Sababu ni kwamba hajakidhi vigezo vya kuwa jaji hata wa mahakama kuu as per constitution. Au km anajiona guilty ajitoe tu akamalizie llb yake kwa prof. Mbwete.
nawasilisha