Jaji M.C. Othman Jaji Mkuu mpya wa Tanzania

Jibu it depends kwani in a perfect world it is possible kwa TISS na CJ kuwa separate bodies kama kila mmoja atafanya kazi kwa ufanisi. Nitakupa mfano Ed miliband alikuwa waziri wa mazingira na kaka David milliband alikuwa waziri wa mambo ya nje UK wote walifanya kazi kwa ufanisi mkubwa kiasi walikuwa consider for the nomination of Labour Party ambapo Ed alimshinda kaka yake.

Sasa kwa ulimwengu wa Tanzania jibu ni Yes kunaweza kutokea conflict of interest but huo ndio utaratibu wa nchi yetu. Mbona kulikuwa na rumours wakati wa mkapa kuwa mama mkapa, Mramba na mgonja wametokea sehemu mmoja na wako sehemu sensitive. Well ndio system ya nchi yetu. Hatuna la kusema la muhimu tuache tu yaende na kumpa nafasi aliyeteuliwa afanye kazi kwa ufanisi kama walivyofanya baadhi ya watu duniani.

Hata kama ilifanyika wakati wa Mkapa... it should not be so.... (haifai).... na haya mambo ya kusema hii ndio system ya nchi yetu ndo yametufikisha hapa tulipo na tukiendelea hivi kuna siku tutaamka asubuhi na kukuta nchi si yetu tena imeshauzwa.

Now in serious note I can argue In case of Milliband's Family Waziri wa Mazingira na Waziri wa mambo ya nchi za nje hizi wizara mbili ni vigumu ku coordinate na kuleta corruption. ALAFU HII MIFANO YA UK NA HAO WANASIASA UTAFIKIRI WAO NDIO ANGELS... NA WENYEWE NI WASANII VILE VILE INGAWA WANABANWA...... (HIVI UNAJUA KASHFA YA TONY BLAIR NA LABOUR PARTY KWAMBA WALIKUWA WANAWAPA WATU KUWA MA-LORDS SABABU TU WALICHANGIA CAMPAIGN YA LABOUR...)

Hii ni Nchi yetu Watanzania.... ITS UP TO US TO MAKE CHANGES NA SIO KUSEMA HIYO NDIO SYSTEM ILIVYO.....
 
nadhani hatuelewani maana ya conflict of interest...... Mfano mzuri ni kama mfano kampuni inatoa tender (na mtoa tenda ni mke) na anayepewa tenda ni bwana yake.......... (kwa hiyo hapa kuna uwezekano wa corruption au huyo mtu aliyepewa tenda kutokufanya kazi)... Sasa je Spika wa Bunge na Waziri.... au Spika na Mbunge wewe unaona kuna uwezekano wa hawa watu kunfanya any corruption???? na kama uwezekano upo extent yake ni kubwa kiasi gani???
Vzr, sasa tukubaliane kwamba hakutakuwa na conflict of interest baina ya DG wa TISS na CJ eti kwa sababu ni Ndugu, hizo ni fikra za kusadikika. Tuwaache hawa wateule wafanye kazi wamsaidie Rais ukizingatia kila mmoja anaendesha Idara/taasisi isiongiliana na mwenzie kulingana na Sheria zilizoziunda taasisi hizo.
 
Uteuzi huu una harafu kali ya udini....alipomteua justice Ramadhan alijua ni mzee na hata kaa sana......sasa huyu ni kijana atakaa miaka 7..........au kwa lugha nyingine atamzidi JK kwa miaka miwili................................

lengo ni kuhakikisha mapingamizi dhidi ya sheria mpya ya mahakama ya kadhi yanatupiliwa mbali chini ya uongozi wa Chief Justice Othmani.............again JK is simply disgusting..............................

CJ Ramadhani ana miaka 65 unataka mzee wa watu afie ofisini. Mwacheni akapumzike vitukuu vyake vifaidi uwepo wake. Wacheni tabia ya ubinafsi na chuki kwa JK
 
Mna mawaziri wangapi wakristo serikalini, who are the majority serikalini. Acheni kulia lia kusiko kuwa na maana Tatizo la baadhi ya watu ukungu wa chuki dhidi ya uislamu huwaziba hata kufikiri. Hawafikirii pengine huyo jaji Chande pengine ndio the most qualified. Kuhusu conflict of interest Uwezo Tunao amesema Tanzania imetawaliwa na Favouritism, nepotism na takataka kibao sasa kama TISS amemteua mdogo wake kuwa tungelianza kwanza kujiuliza mbona wengine wanateua ndugu zao, wake zao, bibi zao humu maofisini hatukemei?

Ah malalamiko mengine jamani tuwe wakweli badala kulia lia tu. Tumjadili Chande kwa merits and qualification badala kutengeneza a smear campaign against him.

M.Mungu kasema katika kitabu chake tukufu "summun bukmun umyun fahum la yarjeoon" (they are deaf ,dumb & blind therefore they they do/will not return). so waislam musiawashangae hawa watu Qur-an haisemi uwongo
 
Nani kakwambia ustaarabu wa Ulaya na Afrika ni sawa. Kilichotokea Ivory Coast nini kama si ndugu kumtangaza ndugu kama Rais. Ulaya ipo mifano mingi ya ndugu kutawala (Nikuongezee Poland) lakini wana system zinazoweza kudhibiti kama maadili yanakengeukwa?

I hope you are not suggesting that we (Africans) are sub-humans!!
 
Vzr, sasa tukubaliane kwamba hakutakuwa na conflict of interest baina ya DG wa TISS na CJ eti kwa sababu ni Ndugu, hizo ni fikra za kusadikika. Tuwaache hawa wateule wafanye kazi wamsaidie Rais ukizingatia kila mmoja anaendesha Idara/taasisi isiongiliana na mwenzie kulingana na Sheria zilizoziunda taasisi hizo.

Hivi functions za TISS ni nini mpaka unaposema kwamba Idara hizi haziingiliani?????
 
Hivi functions za TISS ni nini mpaka unaposema kwamba Idara hizi haziingiliani?????

Hujui function za TISS ndio maana unaona na kudhani hizo idara zinaingiliana.

Kama unazijua functions za TISS na unaona zinaingiliana na za idara ya CJ, basi zitaje.
 
Uteuzi huu una harafu kali ya udini....alipomteua justice Ramadhan alijua ni mzee na hata kaa sana......sasa huyu ni kijana atakaa miaka 7..........au kwa lugha nyingine atamzidi JK kwa miaka miwili................................

lengo ni kuhakikisha mapingamizi dhidi ya sheria mpya ya mahakama ya kadhi yanatupiliwa mbali chini ya uongozi wa Chief Justice Othmani.............again JK is simply disgusting..............................
Tatizo mmezoea kupendelewa mbona machifu justice waliopita walikuwa wakristo na waislamu hawakupiga kelele, wewe ndio unanuka udini.

Ulitaka mteuliwa awe Jaji PETER JOHN JOSEPH?maana kina Othman hawajasoma
 
Katika maisha yangu nimekaa na wabongo sana na kufatilia habari za nyumbani nimeona nimeona muna matatizo ila tatizo lenu moja kubwa munapenda kuzungumza pita kiasi bila ya vitendo na kufikiria hilo jinchi lenu hata ashuke yesu basi haliendelei kwa kuzungumza upumbavu mara mbara,mara mzanzibari,mara mukiristo,mara muislamu duh aisee nyie ni noma sisi wenye asilii ya tz mpaka munatuogopesha hata kuja kutembea kwa ujinga wenu mwingi acheni upuuzi wa udini na ukabila kuweni wastaarabu na wawazi zaidi kwa kuangalia utendaji wa kazi
 
mkuu naona wewe upo sahihi kuliko huyo jamaa wa ikulu.... sina uhakika ana cheo nyadhifa gani kwani hayo maandishi yenye blue hayaeleweki...

Sahihi ni Mwandishi Msaidizi wa Rais ajabu ni kwamba wamekuwa wakirudia hili kosa siku zote bila kulirekebisha ni aibu sana kwetu. Nadhani issue hapa ni uwezo mdogo wa huyo mwandishi msaidizi kwani hata press release zake nyingi huwa hazikoedited yaani makosa kibao lakini bado anachanja mbuga as if hakuna kilichotokea. Mimi sishangai katika hili kwani kuna source moja very reliable ilisema mwandishi husika ni moja ya nyumba ndogo zake kilaza wetu anayeiangamiza nchi huku anatabasamu.
 
Hata kama ilifanyika wakati wa Mkapa... it should not be so.... (haifai).... na haya mambo ya kusema hii ndio system ya nchi yetu ndo yametufikisha hapa tulipo na tukiendelea hivi kuna siku tutaamka asubuhi na kukuta nchi si yetu tena imeshauzwa.

Now in serious note I can argue In case of Milliband's Family Waziri wa Mazingira na Waziri wa mambo ya nchi za nje hizi wizara mbili ni vigumu ku coordinate na kuleta corruption. ALAFU HII MIFANO YA UK NA HAO WANASIASA UTAFIKIRI WAO NDIO ANGELS... NA WENYEWE NI WASANII VILE VILE INGAWA WANABANWA...... (HIVI UNAJUA KASHFA YA TONY BLAIR NA LABOUR PARTY KWAMBA WALIKUWA WANAWAPA WATU KUWA MA-LORDS SABABU TU WALICHANGIA CAMPAIGN YA LABOUR...)

Hii ni Nchi yetu Watanzania.... ITS UP TO US TO MAKE CHANGES NA SIO KUSEMA HIYO NDIO SYSTEM ILIVYO.....

Mkuu nimekupa previous events kwasababu kisheria ndio zinadefine our type of leadership. Ni wachache kama wewe wanaona hakuna umuhimu wa kufata ada iliyopo ya charity begins at home but ukweli haya mambo tunayaona sana humu maofisini kwetu. Akija mchaga, mhaya, mnyakyusa, muislamu, mkristo utaona ataanza kupangua skwadi mpaka utashangaa hii ni kwasababu waliopo hawaamini anataka watu ambao atafanya nao anaowaamini. Ukweli ndio hivyo Tanzania inafanya kazi.

Tukija mada naomba nikuulize mara mwisho Chief Justice kuwa muislamu ilikuwa lini pengine ni jambo la kupongeza kama tulivyompongeza mama ana makinda kwa kuteuliwa mwanamke wa kwanza kuwa speaker. Tumuangalie jamani kwa qualification na sio dini, kabila. CJ Chande fanya kazi tutakupa ushirikiano.
 
Tukija mada naomba nikuulize mara mwisho Chief Justice kuwa muislamu ilikuwa lini pengine ni jambo la kupongeza kama tulivyompongeza mama ana makinda kwa kuteuliwa mwanamke wa kwanza kuwa speaker. Tumuangalie jamani kwa qualification na sio dini, kabila. CJ Chande fanya kazi tutakupa ushirikiano.

mimi sina neno hata kama angekuwa hana dini, au budha, hindu, sina neno kabisa...... yote heri... kwanza hata sijui viongozi wangu ni dini gani mimi ni Mtanzania ambaye jana nimetoka kula Xmass na marafiki zangu Hussein, Abdul, na Patel..... ila undugu wa hawa watu wawili kwenye hizi idara nyeti that why I raise my eyebrows.... I might be mistaken....
 
mimi sina neno hata kama angekuwa hana dini, au budha, hindu, sina neno kabisa...... yote heri... kwanza hata sijui viongozi wangu ni dini gani mimi ni Mtanzania ambaye jana nimetoka kula Xmass na marafiki zangu Hussein, Abdul, na Patel..... ila undugu wa hawa watu wawili kwenye hizi idara nyeti that why I raise my eyebrows.... I might be mistaken....

You are just kidding dude...eyebrows yako inamulika sana pale ambapo kuna wale...kina abdul
 
Back
Top Bottom