VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Jibu it depends kwani in a perfect world it is possible kwa TISS na CJ kuwa separate bodies kama kila mmoja atafanya kazi kwa ufanisi. Nitakupa mfano Ed miliband alikuwa waziri wa mazingira na kaka David milliband alikuwa waziri wa mambo ya nje UK wote walifanya kazi kwa ufanisi mkubwa kiasi walikuwa consider for the nomination of Labour Party ambapo Ed alimshinda kaka yake.
Sasa kwa ulimwengu wa Tanzania jibu ni Yes kunaweza kutokea conflict of interest but huo ndio utaratibu wa nchi yetu. Mbona kulikuwa na rumours wakati wa mkapa kuwa mama mkapa, Mramba na mgonja wametokea sehemu mmoja na wako sehemu sensitive. Well ndio system ya nchi yetu. Hatuna la kusema la muhimu tuache tu yaende na kumpa nafasi aliyeteuliwa afanye kazi kwa ufanisi kama walivyofanya baadhi ya watu duniani.
Hata kama ilifanyika wakati wa Mkapa... it should not be so.... (haifai).... na haya mambo ya kusema hii ndio system ya nchi yetu ndo yametufikisha hapa tulipo na tukiendelea hivi kuna siku tutaamka asubuhi na kukuta nchi si yetu tena imeshauzwa.
Now in serious note I can argue In case of Milliband's Family Waziri wa Mazingira na Waziri wa mambo ya nchi za nje hizi wizara mbili ni vigumu ku coordinate na kuleta corruption. ALAFU HII MIFANO YA UK NA HAO WANASIASA UTAFIKIRI WAO NDIO ANGELS... NA WENYEWE NI WASANII VILE VILE INGAWA WANABANWA...... (HIVI UNAJUA KASHFA YA TONY BLAIR NA LABOUR PARTY KWAMBA WALIKUWA WANAWAPA WATU KUWA MA-LORDS SABABU TU WALICHANGIA CAMPAIGN YA LABOUR...)
Hii ni Nchi yetu Watanzania.... ITS UP TO US TO MAKE CHANGES NA SIO KUSEMA HIYO NDIO SYSTEM ILIVYO.....