Kyaiyembe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 1,706
- 665
Kwani Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, imeishatoa maamuzi au huyu Jaji Jundu anaitolea maamuzi?. Jambo halijapelekwa kwake yeye unajishaua tu!. Basi alete utetezi wa kisheria, au tuwapambanishe live yeye na Lisu kama anadhani ana hoja.
Kweli amedhihirisha kuwa hakuwa na sifa ya kuwa alipo kwani anarukia mambo yasiyomhusu.
Kweli amedhihirisha kuwa hakuwa na sifa ya kuwa alipo kwani anarukia mambo yasiyomhusu.