S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Tunampongeza Jaji lakini tutampongeza sana hayo aliyoyasema yakianza kutekelezwa tukiwaona wanaosota magerezani kwa miaka mingi wanaachiwa huru.
Huu ni mwaka wa uchaguzi, haiyumkiniki watakaoachiwa huru kwa uamuzi huo wataishukuru Serikali ya CCM ...!
Mkuu Boramaisha,
Tabia yetu ya kufanya kila jambo ni Siasa inatupa shida sana...lakini wenye matatizo ni sisi wenyewe kama ambavyo hapo juu umeonyesha dhahiri. Sasa ili tukunufaishe wewe na wengine wenye mawzo kama yako; tusiwaachie hao wenzetu huru mwaka huu kwa sababu wataisifi CCM..!!!!