dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Mwanasheria Mkuu aliyejiuzulu Jaji Fredrick Werema Amekata simu aliyopigiwa na Sauti ya Amerika walikuwa wanataka kujua kama kweli kweli Kajiuzulu. Walipiga simu wakamsalimia, badala ya kujibu salamu yeye kama Asante. Wakamuuliza tena, Tunasikia umejiuzulu kiti chako chako, Yeye akajibu sikua na kiti kisha akakata simu.
Bonyeza hapa chini kusikiliza mahojiano yalivokuwa.
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=211742&d=1418827805[/JFMP3]
Bonyeza hapa chini kusikiliza mahojiano yalivokuwa.
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=211742&d=1418827805[/JFMP3]