Ni historia nzuri, ungeweka kwenye mtiririko unaofaa with full details nadhani ingevuta hisia za wengi wakachangia Mkuu.
tafadhali naomba nijuzwe juu ya hili...hivi lema ataruhusiwa kuwa mbunge wa arusha mpaka hukuku ya rufaa yake itapopatiwa jibu la kisheria au tayari hukumu iliyotolewa inatumika mpaka atakapo prove he is innocent kupitia rufaa aliyokata...msaada wenu wataalamu wa sheria.
He is not writing wikipedia/encyclopedia of this NASTY JURGE, full details ya nn? Alichosema is enough kumjua, na whoever with more details aongezee hapo, BUT Lema na CDM rufaa ipo wazi na wameshafanya hivyo, masaburi jurge @ work....
Mama Rwakatare upo bungeni na JF pia??ungefanya kautafiti kadogo kuongeza nyama kwenye kazi yako ingebeba maana lakini hapa ni kama unapingana na sheria iliyozaa hukumu kwamba Jaji hakupaswa kuwahukumu uliowataja bila kuanisha vipengere vya sheria vilivyokiukwa.