Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
we acha tupunguze hasira za akina jairo kujilipa allowance za kufa mtu, tugeukie kwenye orodha ya matajiri vinara 40 kutoka Afrika waliotajwa na jarida la Forbes siku nne zilizopita. Jamaa kutoka Nigeria Bw. Aliko Dangote anaongoza, pia katika orodha hiyo yupo mKenya na mZimbabwe...hapo Zimbabwe mnajifunza nini Watanganyika wenzangu? Hakuna Mtanzania hata mmoja hata!....Wakati Jairo anaiba wewe chapa kazi tu,amini utaingia kwenye the Forbes