Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Hilo ndilo utegemee siku ya kesho na hiyo ilikuwa ni sheria ya wizara sema aikuwa inaratibiwa mara kwa mara na waziri atakubali hiyo na mwisho wasivyo na dabu wakiongozwa na bi kidude wanaweza kuulizwa wanaoipinga tume kimyaaa wanaoikubali ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo na hiyo ni byebye ya jairo mwisho tume watashauri kurudi kwa jairo inategemea na rais atakavyoamua wao walichotumwa wamemaliza hapo ndipo ..nenda kwenye acc zao ukacheke