Amakando
Senior Member
- May 9, 2011
- 158
- 27
soma kabla ya kuuliza acha kukurupukaSource please!
soma kabla ya kuuliza acha kukurupukaSource please!
Huu niuonezi wa wazi! Sikubaliani kabisa na uamuzi wa serikali....hivi Jairo alichokuwa anafanya sikilikuwa na baraka za waziri na naibu waziri wake? Iweje rungu limwangukie yeye? I hate Tanzania.
Ni usanii mtupu ndugu yangu unaofanywa na hii Serikali iliyojaa Mataahira katika kulinda maslahi yao binafsi badala ya Watanzania ambao tumewapa dhamana kubwa ya kutuongoza. Kila siku iendayo kwa Mungu madudu na uozo kibao!!!!
Kwa hiyo hilo ndilo aliloamua ******?ah.!! Tbc wanasema eti amepewa likizo ya malipo mpaka uchunguzi uishe... Kweli inaitaji moyo kuishi tanzania
bilioni moja ni cost ya mafuta IPTL kwa nusu ciku
Mkuu ushahidi wa kitu gani, au kwenye ile barua kulikuwa na kitu gani cha ajabu ili kitumike kama ushahidi, ni mbunge gani aliyepewa rushwa...kama kuna mbunge aliyepewa rushwa ajitokeze.
Wachunguze 'upitishaji' wa budget kwa wizara zote sio hii ya Nishati na Jairo peke yake.
Barua yake Jairo ya mchango imetumia maneno "kama ilivyo kawaida" what kawaida?
Jana alipitisha Budget ya Wizara ya Elimu kiubabe na kuacha Wabunge wengi wakinungunika kwa ubabe huo.huyu Anna Makinda ndiyo anatakiwa aondoke pale ..... nchi itaendelea kupiga mark time .....
Mwisho wa uchunguzi tutaambiwa hana hatia, kazi mwendo mdundo, na mpaka hapo itaonesha kuwa Wabunge walioibua sakata lile ndo wanaleta maneno mingi ya uongo!! Sasa sijui kanuni na mwongozo vitatumika? Na hizo hela zitarudishwa kwenye idara au ndo zilisharudishwa?Breaking news,hivi punde Katibu wa wizara ya nishati na madini Bwana,David Jairo amesimamishwa kazi,taarifa hiyo imetolewa na katibu mkuu kiongozi philemon Luhanjo ,amesimamishwa ili kupisha uchunguzi wa tuhuma anazokabiriwa nazo.source ITV breaking news.
Mkuu heshima mbele sana,
Hii bilioni moja umeitoa wapi?..kuna mtu kwenye ushahidi juu ya hii kitu?.