kabatilambeho
Member
- Aug 24, 2011
- 31
- 9
wanaenda kupongezana baada ya plan kufaulu, but hawajui kuwa wanajichafua wenyewe..SHAMe!!
ndio maana nawashauri watanzania wenzangu tumchague edward lowassa awe raisi 2015 maana ashatosheka anaweza kutukomboa watanzania.amekwisha kutubu la sivyo tutaendelea kulalamika tu.mawazo yangunipo katikati ya msafara wa hawa wezi sasa wanakwenda kwa bos wao magogoni wakitokea wizarani
nitawajuza kinachoendelea ndugu zangu!!
Nchi imeisha hii jamani inahitaji mtu mzalendo wa kweli kuikomboa!!
Nipo katikati ya msafara wa hawa wezi sasa wanakwenda kwa bos wao magogoni wakitokea wizarani
Nitawajuza kinachoendelea ndugu zangu!!
Nchi imeisha hii jamani inahitaji mtu mzalendo wa kweli kuikomboa!!
Nipo katikati ya msafara wa hawa wezi sasa wanakwenda kwa bos wao magogoni wakitokea wizarani
Nitawajuza kinachoendelea ndugu zangu!!
Nchi imeisha hii jamani inahitaji mtu mzalendo wa kweli kuikomboa!!
Jamani huyu Jairo sasa naanza kupatwa na wasiwasi kwamba ni zaidi ya tumjuavyo!
ndio maana nawashauri watanzania wenzangu tumchague edward lowassa awe raisi 2015 maana ashatosheka anaweza kutukomboa watanzania.amekwisha kutubu la sivyo tutaendelea kulalamika tu.mawazo yangu
ndio maana nawashauri watanzania wenzangu tumchague edward lowassa awe raisi 2015 maana ashatosheka anaweza kutukomboa watanzania.amekwisha kutubu la sivyo tutaendelea kulalamika tu.mawazo yangu
Mbona muda wa futari bado sasa wanaenda kufanya nini!?
Wezi gani hao, ni mahakama gani iliyowatia hatiani?Nipo katikati ya msafara wa hawa wezi sasa wanakwenda kwa bos wao magogoni wakitokea wizarani
Nitawajuza kinachoendelea ndugu zangu!!
Nchi imeisha hii jamani inahitaji mtu mzalendo wa kweli kuikomboa!!
Nipo katikati ya msafara wa hawa wezi sasa wanakwenda kwa bos wao magogoni wakitokea wizarani
Nitawajuza kinachoendelea ndugu zangu!!
Nchi imeisha hii jamani inahitaji mtu mzalendo wa kweli kuikomboa!!
Nipo katikati ya msafara wa hawa wezi sasa wanakwenda kwa bos wao magogoni wakitokea wizarani
Nitawajuza kinachoendelea ndugu zangu!! Nchi imeisha hii jamani inahitaji mtu mzalendo wa kweli kuikomboa!!
Mbona muda wa futari bado sasa wanaenda kufanya nini!?
Wewe kama nani wa kutuambia sisi nchi imeisha? Unaijuwa nchi hii ilipotoka? Na ilipo sasa?
Kama ni wezi na ushahidi unao unangoja nini kwenda mahakamani? Au polisi au takukuru? Kama umeshindwa yote hayo bi wewe ndie mwizi wa fadhila.