Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Huwezi amini kumbe yule mwizi mshiriki wa Ikulu ndugu Jairo anapokewa kwa shangwe na wafanyakazi wa wizara ya nishati kwa kulisukuma gari lake kutoka kitegauchumi hadi wizarani
==============
Nipo katikati ya msafara wa hawa wezi sasa wanakwenda kwa bos wao magogoni wakitokea wizarani.
Nitawajuza kinachoendelea ndugu zangu.
Nchi imeisha hii jamani inahitaji mtu mzalendo wa kweli kuikomboa.
===============
Luhanjo katupokea kwa shangwe kuu amemkumbatia Jairo na kumsifu kuwa ni shujaa!
Kikao kinaendelea,kubwa linalozungumzwa ni hali inayoendelea bungeni na jinzi ya kujihami. Luhanjo anasema ameagizwa kuweka hali ya mambo sawa na mkuu wa kaya!
Nitaendelea kuwajuza!!
====================
More updates
Amini usiamini Ikulu ya amua Pinda ajiudhuru?
Hili linatokana na uzito wa Jairo ndani ya Ikulu, yani wameona bora Pinda ajiuzuru kuliko Jairo!!
Luhanjo anasema mkuu wakaya katoa maagizo eti kinyume na hapo kikwete atavuliwa madaraka!
=============
More UPDATES:
Ikulu yacheza picha la kihindi! Jana baada ya mkuu wa kaya kurudi magogoni kilikalika kikao na bwana Luhanjo akatoa taarifa ya kikao chake na akina Jairo na ikajadiliwa hali ya mambo bungeni.
Moja ya nilichokitafsiri ni kuwa Ikulu na Bungu wanatofautiana sana juu ya Jairo.
Maamuzi ya kikao cha usiku wa jana ni kuwa kwakuwa mda wa Luhanjo kustaafu ulishafika na mpaka leo yupo kwa hisani ya mkuu wa kaya basi walizuge taifa kuonyesha umma kuwa ikulu imesikitishwa na maamuzi ya Luhanjo hivyo imemtimua kazi.
Wazo hilo alilitoa Luhanjo mwenyewe, japo kikwete alisita kidogo lakini Luhanjo alifafanua jinzi mbinu hii itakavyo badili upepo na hali ya mambo itakuwa shwari ndipo mkuu wa kaya akakubali wazo hilo!
Spika wa bunge aliwasiliana na mkuu wa kaya mida ya saa nne na dk kumi na akamueleza dhamira ya bunge kuomba ushauri:
1. Nani awaweke katika kamati
2. Nini wakifanye hao wanakamati
Mkuu wa kaya akaomba kuwa ngoja atulize kichwa kwanza atatoa dokezo!
Kikubwa msitegemee jipya kutoka ktk kamati hiyo kwakuwa inateuliwa na ikulu!
Mkuu wa kaya amgeuka Luhanjo dk za mwisho apendekeza Jairo aendelee kusimamishwa!
Jioni kutakuwa na kikao kati ya mkuu wa kaya, Msekwa, Makinda, Ngeleja, Jairo na baadhi ya wazee wenye kumuabudu kikwete
Hali si nzuri kwa hapa magogoni!
UPDATES ya jioni hii! (25, August 2011)
Waungwana!! wale magwiji wa mikakati michafu ya siasa za tz ndo wanaingia magogoni ulinzi ni mkali yani hatuaminiani wenyewe kwa wenyewe hapa!
Tulieni mkao wakula nitawamwagia hapa yote yatakayojiri hapa!! Kwanza safari ya ****** USA imesitishwa japo mkweree ni kigeugeu hivyo msishangae akalazimisha kwenda!!!
==============
Nipo katikati ya msafara wa hawa wezi sasa wanakwenda kwa bos wao magogoni wakitokea wizarani.
Nitawajuza kinachoendelea ndugu zangu.
Nchi imeisha hii jamani inahitaji mtu mzalendo wa kweli kuikomboa.
===============
Luhanjo katupokea kwa shangwe kuu amemkumbatia Jairo na kumsifu kuwa ni shujaa!
Kikao kinaendelea,kubwa linalozungumzwa ni hali inayoendelea bungeni na jinzi ya kujihami. Luhanjo anasema ameagizwa kuweka hali ya mambo sawa na mkuu wa kaya!
Nitaendelea kuwajuza!!
====================
More updates
Amini usiamini Ikulu ya amua Pinda ajiudhuru?
Hili linatokana na uzito wa Jairo ndani ya Ikulu, yani wameona bora Pinda ajiuzuru kuliko Jairo!!
Luhanjo anasema mkuu wakaya katoa maagizo eti kinyume na hapo kikwete atavuliwa madaraka!
=============
More UPDATES:
Ikulu yacheza picha la kihindi! Jana baada ya mkuu wa kaya kurudi magogoni kilikalika kikao na bwana Luhanjo akatoa taarifa ya kikao chake na akina Jairo na ikajadiliwa hali ya mambo bungeni.
Moja ya nilichokitafsiri ni kuwa Ikulu na Bungu wanatofautiana sana juu ya Jairo.
Maamuzi ya kikao cha usiku wa jana ni kuwa kwakuwa mda wa Luhanjo kustaafu ulishafika na mpaka leo yupo kwa hisani ya mkuu wa kaya basi walizuge taifa kuonyesha umma kuwa ikulu imesikitishwa na maamuzi ya Luhanjo hivyo imemtimua kazi.
Wazo hilo alilitoa Luhanjo mwenyewe, japo kikwete alisita kidogo lakini Luhanjo alifafanua jinzi mbinu hii itakavyo badili upepo na hali ya mambo itakuwa shwari ndipo mkuu wa kaya akakubali wazo hilo!
Spika wa bunge aliwasiliana na mkuu wa kaya mida ya saa nne na dk kumi na akamueleza dhamira ya bunge kuomba ushauri:
1. Nani awaweke katika kamati
2. Nini wakifanye hao wanakamati
Mkuu wa kaya akaomba kuwa ngoja atulize kichwa kwanza atatoa dokezo!
Kikubwa msitegemee jipya kutoka ktk kamati hiyo kwakuwa inateuliwa na ikulu!
Mkuu wa kaya amgeuka Luhanjo dk za mwisho apendekeza Jairo aendelee kusimamishwa!
Jioni kutakuwa na kikao kati ya mkuu wa kaya, Msekwa, Makinda, Ngeleja, Jairo na baadhi ya wazee wenye kumuabudu kikwete
Hali si nzuri kwa hapa magogoni!
UPDATES ya jioni hii! (25, August 2011)
Waungwana!! wale magwiji wa mikakati michafu ya siasa za tz ndo wanaingia magogoni ulinzi ni mkali yani hatuaminiani wenyewe kwa wenyewe hapa!
Tulieni mkao wakula nitawamwagia hapa yote yatakayojiri hapa!! Kwanza safari ya ****** USA imesitishwa japo mkweree ni kigeugeu hivyo msishangae akalazimisha kwenda!!!