The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 256
Eti source Dodoma ndio nini.mbona mi nipo Dodoma lakini sijui...weka source Ghost
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari kutoka Dodoma zinaarifu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini amejiuzuru Rasmi wadhifa huo
More to follow
Ngeleja na malima nao pia wajiuzulu...kwani wao ndo walio mpa baraka za kuomba rushwa..NGELEJA na MALIMA WAJIUZULU PIA!!!
Habari kutoka Dodoma zinaarifu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini amejiuzuru Rasmi wadhifa huo
More to follow
Habari kutoka Dodoma zinaarifu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini amejiuzuru Rasmi wadhifa huo
More to follow
poa wakuuUpdate:Habari ambazo nazipata hapa katika ofisi za Mjengo ni kuwa Anawajibika kwa Rais. Hold on huenda PM akatoa tamko muda si mrefu. Ila kashawasilisha barua ya kujiuzuru. Tunatafuta maarifa ya kujua content.SOURCE NI GHOST RYDER No More question Wakuu, Acheni tufanye kazi