Jahanam

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,599
154,889
Jahanam ni mahali panapotajwa kuwa pana moto uwakao masaa 24.
Je nini asili ya neno hili?
Nimejaribu kulipekenyua kutoka kwenye vyanzo mbalimbali lakini sijaona asili yake.
Ila kuna andiko nlisha wahi kulisoma likisema kuwa jehanum ilikuwepo zamani za kale, lilikuwa ni eneo linalochomwa takataka na lilikuwa likinuka.
Kwa hiyo vitabu vitakatifu vilipafanya eneo hilo kama eneo la utisho kwa waovu.
Je wewe wajua nini kuhusiana na jehunum?
 
Jahanam
Most commonly understood to mean Hell. In fact, it is one of the levels of Hell. There are seven levels of Hellfire:
  1. Jaheem - the shallowest level of Hell. It is reserved for those who believed in Allah and His Messenger, may Allah bless him and grant him peace, but who ignored His commands.
  2. Jahanam - a deeper level where the idol-worshippers are to be sent on the Day of Judgement.
  3. Sa'ir - is reserved for the worshippers of fire.
  4. Saqar - this is where those who did not believe in Allah will be sent on the Day of Judgement.
  5. Ladha - will be the home of the Jews.
  6. Hawiyah - will be the abode of the Christians.
  7. Hutama - the deepest level of Hellfire. This is where the religious hypocrites will spend eternity. The worst of Allah's creation are the Munafiqeen (Hypocrites), whether they be mankind or Jinn, for they outwardly appear to accept, but inwardly reject, Allah and His Messenger.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom