nimeachana na shyrose bhanji (kicheche mzee) baada ya kugundua km anatoka kimapenzi na mr 2... Ni aibu sana kwa mwanamke mwenye miaka 42 kua kicheche kiac hicho!!!! Nilitegemea mtu km mr 2 angeanza kufanya harakati ktk mziki wetu lkn harakati zake zimehamia kwenya mapenzi na madem wa wasanii wenzake... Ni aibu kubwa sana
Hao wanajuana wao kwa wao bwana hata kama ni kicheche nafikiri angetumia busara zaidi na kukaa kimya kuliko kuanza kuongelea ishu kama hizo tena public halafu kuzipeleka facebook na unaanza kumtrash mtuAngemjua ni kicheche asingekuwa nae katika mapenzi.....ndo kamjua sasa na kachukua hatua....nafikiri mtu kama Jafarai ana pressure sana kutoka kwa fans wake wa kusema ukweli....na inaumiza kuwa cheated....kila mtu ana namna anayoweza deal na tatizo,he is frustrated na nafikiri kafanya uamuzi mzuri.......
Anayeachwaga huwa ndiyo muongeaji!!..Shy atulie kimya ili huyo mtoto aonekane ****!!
Ngoja MR 2 aibuke ampe mapande yake dogoAnayeachwaga huwa ndiyo muongeaji!!..Shy atulie kimya ili huyo mtoto aonekane ****!!
Hao wanajuana wao kwa wao bwana hata kama ni kicheche nafikiri angetumia busara zaidi na kukaa kimya kuliko kuanza kuongelea ishu kama hizo tena public halafu kuzipeleka facebook na unaanza kumtrash mtu
Angemjua ni kicheche asingekuwa nae katika mapenzi.....ndo kamjua sasa na kachukua hatua....nafikiri mtu kama Jafarai ana pressure sana kutoka kwa fans wake wa kusema ukweli....na inaumiza kuwa cheated....kila mtu ana namna anayoweza deal na tatizo,he is frustrated na nafikiri kafanya uamuzi mzuri.......