Jaffarai na Shy-Rose na Kuheshimiana baada ya kuachana

280nwqg.jpg
280nwqg.jpg


Jafarai lazima alie kilio cha samaki......toto guu guu
 
heshima itakuwepo sasa kwa sababu thamani ya mwenzio utaiona wakati atakuwa hayupo nawe. lets learn to respect ourselves inorder to be able to resolve our domestic issues its not good if it goes public, these are discreet matters
 
jamaa anchonga sana kakosa mengi anahitaji ushauri nasaha mwanaume mwenzetu,mwanaume kuwa binti ni hatari sana tujiangalie:behindsofa:
 
Hivi hao walivyokopi majina ya watu ktoka facebook ni haki kweli
 
Hii thread imenifundisha kitu kimoja muhimu sana! Unapoamua ku-date mtu kuwa makini sana kwenye kuweka maamuzi ! Hata kama mtabwagana mbele ya safari bali awe ni mtu atakaye kupa heshima. Kama Shy-Rose angekuwa amepiga picha za utupu na huyu Mshamba Jaffa bila shaka angeweka hadharani. Hii dunia ina wanawake wangapi? Ningekuwa yeye ningetafuta na mimi Mbunge wa kike ili tuwe tumesquare differences. Kwenda kulia lia ni udhaifu wa ajabu.

tupo pamoja mchungaji!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom