Jafarai lazima alie kilio cha samaki......toto guu guu
yah man....hii unainyonya toto mpaka inalegea.....bibi guu guu
Hii thread imenifundisha kitu kimoja muhimu sana! Unapoamua ku-date mtu kuwa makini sana kwenye kuweka maamuzi ! Hata kama mtabwagana mbele ya safari bali awe ni mtu atakaye kupa heshima. Kama Shy-Rose angekuwa amepiga picha za utupu na huyu Mshamba Jaffa bila shaka angeweka hadharani. Hii dunia ina wanawake wangapi? Ningekuwa yeye ningetafuta na mimi Mbunge wa kike ili tuwe tumesquare differences. Kwenda kulia lia ni udhaifu wa ajabu.
Usugu wao kwa kujifanya wachumba sugu kwa miaka 8 ndo maana sugu ameenda kusugua hukohuko.