Ni nani huyo jaffarai jaman?
Si ndo hapo sasa,Kwani tatizo likuwapi, watu wakiachana haimaanishi wamegombana, watu wamekuwa pamoja kwa muda mrefu kwa hiyo kuna mengi wamefanya pamoja kwa hiyo waacheni watu wana mipango sio kla mkiwaona mnawaza mapenzi tu.
Sugu vipi nae kamtema shy?mdee nikija club utanikubali tucheze pamoja blues?
Hakuna jamii kama hiyo Dunia ya leo, pia wewe kama ungekua unatekeleza uliyoyasema hata kureply hapa usingereply! Asante kwa kupita hapa kwani inaonyesha u-mmoja wetu.Ni mawazo yangu tu!!!!Tukiwa wenye kushughulikia yanayotuhusu zaidi itatusaidia kujikwamua kiuchumi mapema sana, lkn km tutazidi kuendekeza maisha yetu ya kufatilia kila lisilo na mashiko kwny maisha haya ya mchakamchaka tutaishia kuwa wauza kahawa na wambea tusioeleweka mwanzo wetu wala mwisho wetu! Ni mawazo yangu tu!
Kwani tatizo likuwapi, watu wakiachana haimaanishi wamegombana, watu wamekuwa pamoja kwa muda mrefu kwa hiyo kuna mengi wamefanya pamoja kwa hiyo waacheni watu wana mipango sio kla mkiwaona mnawaza mapenzi tu.
wapi kwenye hizi picha kunaonyesha wako pamoja??