Majizi Chadema wamekimbiwa.Hivi wolper alikuwa na cheo gani chadema nauliza MTU akuwa ata mwenyekiti Wa tawi Wa chama kweli ccm mna shida sana yaani mmeshindwa ata kumshawishi kiongozi yeyote wa chadema ata wa mtaa ambaye alichaguliwa ndani ya uchaguzi wa chama aje Dodoma unawaita kina wolper Na mgana msindai na mpendazoe kweli ccm mmeishiwa
Walivyotoka ccm mliwaita makapi.Majizi Chadema wamekimbiwa.
Yani ni majizi hadi mabavicha yanajipiga ngwala na kujiibia yenyewe million 10 za posho!!!!!
Kama ni majizi kiasi hiki wakipewa nchi itakuwaje???
CHADEMA haijawahi kumfukuza slaa...akiomba kurudi tutatafakariAkirudi msaliti mtampokea?
Tena la msingi ni lile la kuona ya kwamba wale watu ambao katika uchaguzi mkuu wa 2015 tuliwaita makamanda na walikuwa tegemeo kubwa la kuiangusha ccm.
Je mbona makamanda wanatoka, kulikoni, nyumba imepoteza mvuto?
Je nyumba imepoteza ari na vugu vugu la vita ambavyo makamanda hawa walokuja kupigana?
Ng'ombe aliyepotea,akaenda kukatwa mkia akirejea zizini ng'ombe wenzake lazima wamuone tofauti. Kwamba huyu kakatwa. Teh teh teh.Msanii nguli wa filamu nchini muda huu katika hafla ya wasanii ya kumuaga Mwenyekiti Mstaafu Mh. Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kurejea CCM.
"Nilipotea kwenda kule, nimeamua kurudi nyumbani".
Karibu nyumbani uungane na wenye akili, maisha na maendeleo yapo huku, kule kuna chuki, fitina, uzandiki, majungu na kundi la majobless wenye roho mbaya.
Karibu nyumbani uonje raha ya utu.
Ni kupoteza muda, kwa siasa zetu, kuanza kujiuliza sababu za watu kuhama vyama wakati ziko wazi! Watu wanatafuta fursa na nguvu za kimamlaka, basi. Wolper anatafuta pesa, Mpendazoe anajua CCM ya leo inaweza kumuondolea njaa kali aliyonayo baada ya kukosa fursa yoyote Chadema!
Wacha ccm wahangaike na hao wasanii lkn siyo kwa chama makini kama cdm kuhangaikia na mtu kama walper ni kupoteza muda kabisa
Hivi ninyi mliopotezea kura zenu UKAWA mliamini Kabisa Lowassa atakuwa Rais!!!!!!!!? Thubutuuuuuuu!Wolper alidhani atapewa Ubunge wa kuteuliwa...aligonga mwamba ni lazima atapetape
Mpiga dili, this kind of pple ndio asiowataka magufuli.Hivi ninyi mliopotezea kura zenu UKAWA mliamini Kabisa Lowassa atakuwa Rais!!!!!!!!? Thubutuuuuuuu!
Mpiga dili, this kind of pple ndio asiowataka magufuli. View attachment 370287
Mi nawashangaa sana watu...who is wolper by the w way...hiv ana mchango gani ktk maendeleo ya taifa hili..yaan kumjadil huyu ni kupotexa muda tuAkili za kitoto HIZO! Jackline Wolper ni nani katika siasa za nchi hii? Unakidhalilisha chama changu!! Wewe mtu wa maigizo au?
Nimekusoma Fundi!Wanakimbiza mirungi na bangi wanawachia unga mkuu teja hafugiki ni sawa na kunguru wabaki na kunguru lao!