MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Hapa dawa labda zije private service za investigation ili walau kwa kesi sensitive tupate watu wa kuchunguza kwa kuridhisha kabisa kuwa uchunguzi umefanyika. Siku ukiwa Police ndio utajua kama tuna wapelelezi serious. Utaishia kusimuliwa matukio kama yako then unaambiwa "tutafatilia "