Wale jamaa wa kule kwingine NOMA tupu
Yaani nasoma maoni ni noma ile kichizi
lakini ndio ma Z LIST CELEBRITIES WETU hawa waliobakia, maan akian Iddi wanaanza kutokwa na upara...on a flipside i hope huyu dogo ni captain of his own ship and i care less kama kaiba,kachota au sijui vipi ...sasa katika hawa ma Z-LIST celebrities wetu kwa nini wasijitutumue wakanunua walau YATCH? maana inabidi iwepo tofauti kati ya akina Freeman na ma VOGUE yao na wengine wenye YATCHS yaani badala ya kuuumizana vichwa na kunuka jasho bistro kila ijumaa basi nyie ahhhh haooooo mnaingizana Maputo au Nampula for a weekend..kwanza hakuna wanga wanaokujua wakakutoa kwenye utamu,pili inawapa kazi ya ziada Interpol na tatu nadhani its safer kuzungumza mambo ya kifisadi baharini kuliko nchi kavu
Hiii ndio maana ya DONT HATE THE PLAYER, HATE THE GAME
Wakuu heshima mbele
Mbona sielewi au anafanya kampeni ya kugombea ubunge
si yupo ndani ya gari au kuna kingine