Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Afadhali nikopwe kuliko kukopa kwa vile nitategemea kurudishiwa na riba juu, jua ukikopa umri unatumia miaka ya mtu mwingine au mtoto anayekufa kwa sulua atakudai siku ya hukumu.O.k kama yeye amekopa basi wewe utakopwa!!