Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Nakiri kuwa Nyerere alifanya mengi mazuri ambyoyamebakia historia leo. Sina sababu ya
kuyataja kwani kila mtazania, mtu mzima na mwenye akili timamu
ameyaona ama ameyameza kupitia shuleni, enzi zile za zidumu fikra za mwenyekiti!!!
Kama kuna mambo mabaya ambayo mwalimu hakuyafanyia kazi, angeyashuhudia kwa wakati huu,
mbali na kutengeneza watazania mbumbumbu wa kutafakari na wa kipato, mwalimu ametuachia
MAFISADI wa kufa mtu!!!!!!!!
Mwalimu alishindwa kutengeneza sheria na mfumo wa kiutawala wenye kuondoa dhuruma na
ufisadi na akajenga yeye kama m/kiti wa chama na akadhani kina Mr. Clean wangekuwa mbadala kumbe
uongozi mzuri hautoakani na mtu mmoja bali na MFUMO mzuri wa kiutawala.
Mwalimu alituachia MFUMO wa kifisadi na KIONEVU unaoendelea kutumia nguvu ya dora kukandamiza wanyenge.
Nawasilisha.
kuyataja kwani kila mtazania, mtu mzima na mwenye akili timamu
ameyaona ama ameyameza kupitia shuleni, enzi zile za zidumu fikra za mwenyekiti!!!
Kama kuna mambo mabaya ambayo mwalimu hakuyafanyia kazi, angeyashuhudia kwa wakati huu,
mbali na kutengeneza watazania mbumbumbu wa kutafakari na wa kipato, mwalimu ametuachia
MAFISADI wa kufa mtu!!!!!!!!
Mwalimu alishindwa kutengeneza sheria na mfumo wa kiutawala wenye kuondoa dhuruma na
ufisadi na akajenga yeye kama m/kiti wa chama na akadhani kina Mr. Clean wangekuwa mbadala kumbe
uongozi mzuri hautoakani na mtu mmoja bali na MFUMO mzuri wa kiutawala.
Mwalimu alituachia MFUMO wa kifisadi na KIONEVU unaoendelea kutumia nguvu ya dora kukandamiza wanyenge.
Nawasilisha.