William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Kwa sasa ukisema tuuvunje muungano haimaanishi unauchukia ila ni busara tu hutumika.
Hata kama ni wachache hawautaki muungano tuuvunje kama UJERUMAN Na ikiwapo aja Na wananchi wakitaka tutaungana tena. Kama tumeoleana, tunaingiliana busara itumike. Utabaki undungu na urafiki. Sheria zitambue hilo.
Unajua tutaung'ang'ania na kuunda hoja za kuwatukana wasioutaka hatimaye zitajengwa chuki kali za watanganyika na wazanzibari na tutatengana kwa shari kama KOREA, ETHIOPHIA NA ERITRIA, SUDAN AU URUSI.
Kawaida waanzisha mapinduzi ni "wahuni" tu.
Wanaotumia ustaarabu sikuzote hawasikilizwi.
Wasomi wakianzisha huongwa vyeo kama Maalim Seif na Bilali.
Wahuni ndio wahanga wa ukosefu wa ajira, elimu bora na huduma bora za Afya ndio wanaoongoza mapinduzi.
Ila huja kusapotiwa na werevu baada ya mbinu za kihuni zaidi kutumika kuwadhiti.
Hoja za kutoutaka muungano Zilianza toka Mwalimu Jk akiwa madarakani. Wanasiasa mkazibadili mkaziita KERO ZA MUUNGANO.
Swali wazanzibari walioko selikalini watumishi wa uma walioko bara itakuwaje? HAO TUTAWACHUKULIA kama ilivyo kwa wachina kwenye ujenzi wa barabara au baadhi ya waasia wageni.
Waliooleana. Ata mzee Obama alioa Marekani.
Mjadala wa katiba uwe wazi kujadili uwepo wa muungano. Kuwapa nusu ya wajumbe haikuwa suluhu.
Nakushauri rafiki yangu jk wahuni ndio waletamapinduzi.
Huu ni ushauri wangu kwa jk.
Hata kama ni wachache hawautaki muungano tuuvunje kama UJERUMAN Na ikiwapo aja Na wananchi wakitaka tutaungana tena. Kama tumeoleana, tunaingiliana busara itumike. Utabaki undungu na urafiki. Sheria zitambue hilo.
Unajua tutaung'ang'ania na kuunda hoja za kuwatukana wasioutaka hatimaye zitajengwa chuki kali za watanganyika na wazanzibari na tutatengana kwa shari kama KOREA, ETHIOPHIA NA ERITRIA, SUDAN AU URUSI.
Kawaida waanzisha mapinduzi ni "wahuni" tu.
Wanaotumia ustaarabu sikuzote hawasikilizwi.
Wasomi wakianzisha huongwa vyeo kama Maalim Seif na Bilali.
Wahuni ndio wahanga wa ukosefu wa ajira, elimu bora na huduma bora za Afya ndio wanaoongoza mapinduzi.
Ila huja kusapotiwa na werevu baada ya mbinu za kihuni zaidi kutumika kuwadhiti.
Hoja za kutoutaka muungano Zilianza toka Mwalimu Jk akiwa madarakani. Wanasiasa mkazibadili mkaziita KERO ZA MUUNGANO.
Swali wazanzibari walioko selikalini watumishi wa uma walioko bara itakuwaje? HAO TUTAWACHUKULIA kama ilivyo kwa wachina kwenye ujenzi wa barabara au baadhi ya waasia wageni.
Waliooleana. Ata mzee Obama alioa Marekani.
Mjadala wa katiba uwe wazi kujadili uwepo wa muungano. Kuwapa nusu ya wajumbe haikuwa suluhu.
Nakushauri rafiki yangu jk wahuni ndio waletamapinduzi.
Huu ni ushauri wangu kwa jk.