engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Goli la kwanza tumefungwa DAKIKA YA 11
Ivory Coast vs Simba...
Sijui uzalendo upi maana kwenye title ni utata mtupu kwenye content napo utata mtupu....kifupi mleta mada na stress za kupigwa tano bila na wekundu wa msimbazi hivyo leo anatamani timu ya taifa ambayo inawachezaji wengi wa simba ifungwe hata 10 nadhani itafurahi sana....
Goli la kwanza tumefungwa DAKIKA YA 11
Unatumia hizi link ulizonitumia? Zinafanya kazi .. Nipo barabarani kijana kama zinafanya kazi nipe feedback nitulie sehemu nicheki game.
Ivory Coast is leading by 1 - 0.
Goli la kwanza tumefungwa DAKIKA YA 11
World Cup qual. - Africa (Group C) | |||
19:19 | June 2 | ||
| Gambia | 1 - 0 | Morocco |
| Ivory Coast | 0 - 0 | Tanzania |
Ni kweli kabisa... Hata iliyofungwa na Newcastle kule Shandy ilikuwa Yanga....Haaahhaa ikipigwa hapao itabidi iwe ivory cost vs yanga