Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,270
Game ni saa ngapi wakuu? Leo langoni yupo Kaseja aliyemcheka Mapunda siku ile akila 4 bila
Jamani wekeni uzalindo kwanza...ni timu yetu na wengine tunaipenda sana.
Acha kuleta habari za magazeti ya udaku unaweza kuthibitisha kuwa kaseja alimcheka Mapunda...Game ni saa 20...............Game ni saa ngapi wakuu? Leo langoni yupo Kaseja aliyemcheka Mapunda siku ile akila 4 bila
walitoa ngapi ngapi?Watoe droo na nani? wameshindwa kutoa droo na Club ya kawaida kula Shandy itakuwa Taifa Stars...thubutuu
Mkuu mpira hauko hivyo, mpira sio uwezo tu ni pamoja na bahati, unaweza kuamini kama Ufaransa waliondoka bila kushinda mechi hata moja kombe la dunia 2002 na walikuwa na washambuliaji nyota kabisa watatu wa daraja la dunia, huwezi jua leo bahati inaweza kuwa upande wetu ukashangaa kila cross ya Gervinho Drogba akipiga kichwa inagonga mwamba au inatoka nje au Kaseja anadaka halafu ghafla dakika ya 88 Ngasa akanasa pass ya Salum Abubakar na kukimbia nao huku Samatta akifuatia kwa kasi na mara Ngasa anafyatua Kombora ambalo Barry anapangua na kurudi uwanjani halafu inakutana na Samatta anamaliza kazi. Itakuwaje hapo? lazima uzime TV.Unajua Mkuu hakuna mtu anayeombea mabaya hapa tunaongelea reality.Cote de' Ivoire na Simba Mseto wapi na wapi?
Ni sawasawa na mtu analala katikati ya barabara highway gari zinakuja tunasema yule atagongwa unasema tunamuombe mabaya,kufungwa tunafungwa tena za kutosha,hilo halina ubishi, wee subiria
Game ni saa ngapi wakuu? Leo langoni yupo Kaseja aliyemcheka Mapunda siku ile akila 4 bila
Mkuu mpira hauko hivyo, mpira sio uwezo tu ni pamoja na bahati, unaweza kuamini kama Ufaransa waliondoka bila kushinda mechi hata moja kombe la dunia 2002 na walikuwa na washambuliaji nyota kabisa watatu wa daraja la dunia, huwezi jua leo bahati inaweza kuwa upande wetu ukashangaa kila cross ya Gervinho Drogba akipiga kichwa inagonga mwamba au inatoka nje au Kaseja anadaka halafu ghafla dakika ya 88 Ngasa akanasa pass ya Salum Abubakar na kukimbia nao huku Samatta akifuatia kwa kasi na mara Ngasa anafyatua Kombora ambalo Barry anapangua na kurudi uwanjani halafu inakutana na Samatta anamaliza kazi. Itakuwaje hapo? lazima uzime TV.
Drogba vs samata! Samata lazima a shine, unabishaa ? Weka mzigo tu bet !
Hivi ikitokea vijana wakatoa sare si unaweza ukavunja computa yako kwamba haikuletei habari za ukweli.
hahaha, haki ya kweli, inawezekana walipofika pale waliuliizia kwa wenyeji kaama timu yao ina migogoro, wakaambiwa hamna mgogoro wowote, sasa mimi sijui nifanye nini, manake naona moyo utauma sana na mapresha kupanda na kushuka kushangilia timu ambayo najua asilimia mia moja kuwa leo inafungwa....cha kuomba Mungu ni kwamba wafungwe machache basi, na wachezaji wa simba wasiwashangae akina drogba, wacheze booli.
walitoa ngapi ngapi?