Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
ilikuwa ni tano bila, lakini yanga walifanya makusudi, walizembea makusudi kama adhabu ya kuwaadhibu viongozi wao kutokana na mgogoro uliopo....ni kama vile unaenda kuwinda, afu digidigi anakuja home kwako anaingia ndani anakaa sebuleni, utakachofanya pale wewe hutumii ujuzi wowote, wala ile mitego uliyozoea anayokusumbuaga kule porini, unaingia ndani unachukua kisu unamchinja,...lakini ni mteremko....kama kusingekuwa na mgogoro, simba ingefungwa na yanga kama ilivyo kawaida yao.....yanga oyeeeeeeeeeee
Simba ooh soryy Taifa Stars wanatamani Ivory Coast na yenyewe ingekuwa na migogoro