Kokwa kavu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 220
- 41
Mi nko zangu pande za external london pub nackia kuna msanii anataka kujitambulisha anaitwa zola D kwel bongo ha2na celebrit
Ndiyo nani huyo? Ila anaweza akawa ungerground.
C ndo nmeshangaa dj anasema ni msanii nikajiuliza itakua msanii wa ile pub
ni msanii mkubwa,na wamda mrefu coz nmeanza kumsikia nikiwa form1(sasa nmemalza form6)..
aliwah kua na track inaitwa MOTO WA TIPA..
ILA KIFUP MSHIKAJI HAJUI ANALAZMISHA TU..
ni msanii mkubwa,na wamda mrefu coz nmeanza kumsikia nikiwa form1(sasa nmemalza form6)..
aliwah kua na track inaitwa MOTO WA TIPA..
ILA KIFUP MSHIKAJI HAJUI ANALAZMISHA TU..
wote mnamjua ni unafiki tu..
Tafuteni ngoma yake mpya inaitwa 'whats going on' mi naona kachana poa.