kwenye simu inakubali?
Mmh hiyo unatumia
nini fire for au?
ndio inakuaje hyo mkuu.
ila ingependeza kama 2ngejua pia division 1,2 na 3 ziko ngapi kati ya hzo 122.
ila kama ni hao 122,kuna uwezekano na sis tukabahatka mkuu.
unaweza ukawa na 3 ila ni ya 7.ila ingependeza kama 2ngejua pia division 1,2 na 3 ziko ngapi kati ya hzo 122.
Are you serious????? kazi ipo kwelikweliMKUU nimeangalia,jumla ya walioply ni 1026,walio eligible ni 894 na walioiweka kama 1st choice ni 122.
MKUU nimeangalia,jumla ya walioply ni 1026,walio eligible ni 894 na walioiweka kama 1st choice ni 122.
sidhan kama wanaweza kuchukua one tu mkuu.
sidhan kama wanaweza kuchukua one tu mkuu.
Jamani wakuu mlio omba udahili kwa cas-tcu,wale mlio omba bcom-finance udsm kama 1st choice ebu jitokezeni humu ili tujijue tuko wangapi tulio omba hiyo faculty ili tujue competition itakuaje,maana kama ilivoonyeshwa kwenye guide book ya tcu hyo faculty inachukua watu 80 tu,sasa sie wengine ingawa tumeandikiwa eligible lakin hatujui kama tutabahatika kuchaguliwa!