Sine r Winters
Senior Member
- Jul 10, 2012
- 110
- 15
Du wadau mnanitisha,niapply electrical veta nn.
Du wadau mnanitisha,niapply electrical veta nn.
Kuna updates nimezipata,eti kuna baadhi ya vyuo na baadhì ya programs kama bcom,law,political science,public admininistration,BBA,hrm nk zimekosa watu wa kutosha na vile vile kozi kama medicine,BVM,agriculture,engineering na education zimekimbiliwa na watu wengi hvo kuwapa wakati mgumu wakuu wa vyuo husika katika kuwachagua watu wanaowataka,vile vile wanasema watu wengi wamekimbilia kuaply vyuo kama udsm,sua na saut.ndio hayo niliyoyapata,sasa sijui kama yana ukweli.
dah iyo inatisha tena kama medicine mwaka huu sijui itakuaje wadau dah coz nikicheki wa2 walioomba medicine kama kcmc hali ni mbaya ni kuomba kwa mungu 2 coz mambo hayaeleweki aisee
Wewe kijana huna adabu. Ulaaniwe na uzao wako na huko utakako kwenda utadisko. Nakulaani kuanzia leo![/QU kwa uchache wa akili yako unafikiri kila mtu huku JF anasubiri kwenda chuo kusoma usekretari kama ww.Huko nimepita kitambo dogo nakula bata ss
bila shaka labda wawe na chuki na wewe.Nimeomba hii program(NA NILIKUWA ELIGIBLE);
*Bachelor of Education Mathematics(TEKU)
*Capacity-300
*Total applicants applied-335
*Eligible-243
*1st choice-27(pamoja na mimi)
Je,naweza kupata?
Watu wamekimbilia mikopo zaidi,hahahaKuna updates nimezipata,eti kuna baadhi ya vyuo na baadhì ya programs kama bcom,law,political science,public admininistration,BBA,hrm nk zimekosa watu wa kutosha na vile vile kozi kama medicine,BVM,agriculture,engineering na education zimekimbiliwa na watu wengi hvo kuwapa wakati mgumu wakuu wa vyuo husika katika kuwachagua watu wanaowataka,vile vile wanasema watu wengi wamekimbilia kuaply vyuo kama udsm,sua na saut.ndio hayo niliyoyapata,sasa sijui kama yana ukweli.
muhimbili hakushikiki siku hzimuhimbili pale ndo balaa...yaani we acha tu
Watu wamekimbilia mikopo zaidi,hahaha
yeah!hata me nimeona,kuna kozi inaitwa ud041-bcom accounting,admission capacity ilikua 220,sasa hvi ni 218.
Teh teh... Dah, nakuona sine r unawakilisha! Hali ni mbaya! Cjui ntapata hata DIT?