Ivi selection za tcu zimefikia hatua gani?

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Kwa anaejua please,maana wengne hatujui hata kinacho endelea huko!
 
we kilaza kweli!majina yapo kwenye net tangu ijumaa kama hujaona lako wahi veta.

Acha arrogance, mwenzako kauliza we unamtukana. Vijana mtakuwa wastaarabu lini. Eti wewe tunaku-train uwe kiongozi kesho, nikilijua jina lako naku-strike out of the names list ya university!
 
Acha arrogance, mwenzako kauliza we unamtukana. Vijana mtakuwa wastaarabu lini. Eti wewe tunaku-train uwe kiongozi kesho, nikilijua jina lako naku-strike out of the names list ya university!

vipi mkuu,una updates zozote za huko tcu unihabarishe?
 
Acha arrogance, mwenzako kauliza we unamtukana. Vijana mtakuwa wastaarabu lini. Eti wewe tunaku-train uwe kiongozi kesho, nikilijua jina lako naku-strike out of the names list ya university![/QU unistrike kwenda wapi tena niko kwa jiko kitambo,unafikiri kwa kutumia masaburi eeh?
 
Naomba kujua hivi wote mkiingia kwenye acc zenu kwenye website ya cas kwa sasa mnakutana na hili neno not eligible au checkin progress hata kwa zile ambazo ulikuwa umeandikiwa eligible kabla ya deadline?
 
Acha arrogance, mwenzako kauliza we unamtukana. Vijana mtakuwa wastaarabu lini. Eti wewe tunaku-train uwe kiongozi kesho, nikilijua jina lako naku-strike out of the names list ya university![/QU unistrike kwenda wapi tena niko kwa jiko kitambo,unafikiri kwa kutumia masaburi eeh?

Wewe kijana huna adabu. Ulaaniwe na uzao wako na huko utakako kwenda utadisko. Nakulaani kuanzia leo!
 
taarifa nimezipata japo c vyanzo vya kuaminika ya kua total applicants walikua 40K na waliopata vyuo ni 30K so kukiwa na ukweli hapo, applicants kama 10K watakuepo 2 mtaani wanauza sura till nxt year! Na kwa hali nnayoiona wa2 kuwa packed kwenye prgrm chache ilihali wakisaka vyuo bora na kukimbilia kwenye mikopo inawezekana kukawa na ukweli! Again chukua hizi habari 50/50 maana alienambia nlimuuliza source nae hana uhakika anasema kaambiwa ipo kwenye 1 of 2days news! Nawasilisha makamanda
 
taarifa nimezipata japo c vyanzo vya kuaminika ya kua total applicants walikua 40K na waliopata vyuo ni 30K so kukiwa na ukweli hapo, applicants kama 10K watakuepo 2 mtaani wanauza sura till nxt year! Na kwa hali nnayoiona wa2 kuwa packed kwenye prgrm chache ilihali wakisaka vyuo bora na kukimbilia kwenye mikopo inawezekana kukawa na ukweli! Again chukua hizi habari 50/50 maana alienambia nlimuuliza source nae hana uhakika anasema kaambiwa ipo kwenye 1 of 2days news! Nawasilisha makamanda

kamanda mbna hali ni tete sana yaani watu elfu kumi nje.!? Vp kuhusu majina alisema yatatoka lini?
 
Mchakato wa selection baada ya kukamilika TCU majina yatapelekwa HESLB kwaajili ya Mikopo, HESLB wakikamilisha zoezi la kuselect watakao pata mikopo, watarudisha majina TCU sasa hapo ndio TCU wata publish selections,wahadhiri walianza mchakato wa kuchagua wanafunzi tangu July 5(according to TCU) so vijana taarifa za nyuma ya mlango zinaweza kua kweli au la just, Msisite kutoa fununu mlizo nazo vijana. Mungu atusaidie tupate pale tupatakapo
 
kamanda mbna hali ni tete sana yaani watu elfu kumi nje.!? Vp kuhusu majina alisema yatatoka lini?

walisema ni late this month ila hata mwaka jana walisema hivo but tokeo lilitoka wa 8(mwanzon)! Predicting hizi sys za bongo ni nxt 2 impocble
 
Mchakato wa selection baada ya kukamilika TCU majina yatapelekwa HESLB kwaajili ya Mikopo, HESLB wakikamilisha zoezi la kuselect watakao pata mikopo, watarudisha majina TCU sasa hapo ndio TCU wata publish selections,wahadhiri walianza mchakato wa kuchagua wanafunzi tangu July 5(according to TCU) so vijana taarifa za nyuma ya mlango zinaweza kua kweli au la just, Msisite kutoa fununu mlizo nazo vijana. Mungu atusaidie tupate pale tupatakapo

true i.e th case! May God do that
 
Nimeomba hii program(NA NILIKUWA ELIGIBLE);
*Bachelor of Education Mathematics(TEKU)
*Capacity-300
*Total applicants applied-335
*Eligible-243
*1st choice-27(pamoja na mimi)
Je,naweza kupata?
 
Kuna updates nimezipata,eti kuna baadhi ya vyuo na baadhì ya programs kama bcom,law,political science,public admininistration,BBA,hrm nk zimekosa watu wa kutosha na vile vile kozi kama medicine,BVM,agriculture,engineering na education zimekimbiliwa na watu wengi hvo kuwapa wakati mgumu wakuu wa vyuo husika katika kuwachagua watu wanaowataka,vile vile wanasema watu wengi wamekimbilia kuaply vyuo kama udsm,sua na saut.ndio hayo niliyoyapata,sasa sijui kama yana ukweli.
 
Back
Top Bottom