Ndugu yangu wanaolia mtaani kuwa hakuna kazi ni watu waliotoka vyuoni....wapo tele mtaani ila aliomaliza VETA au FTC kazi za kumwaga tena bosi anakubembeleza coz anajua wewe ni kichwa!! 2012 Dunia yako Chaguo Lako!!
yah hata mimi naamini mwenye degree hamfikii wa veta practically, nilitembelea veta nkaona the way wanavosoma wapo competent sana hawa jamaa,
Hili linathibitishwa na ugunduzi wao post nyingi humu watu wamepost kuhusu vitu vilivyogunduliwa hapa tanzania vyote vinatoka veta, mfano gari la solar na sauti inayovutia samaki kwa wavuvi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.