Ivi lini tutafika walau hapa

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,325
334_roundabout1.jpg
 
Kila siku watu wanapanda ndege na kutembelea huko. Si lazima tufike huko wote teh!
 
tatizo letu jingine ni kuwa si watunzaji. kama tungekuwa watunzaji na wasafi kama hao kwenye picha barabara kama za samnujoma, a.h. mwinyi, kawawa, morogoro nk zilijengwa kwa kiwango hicho. so simply tulishafika hapo ila si wasafi wala watunzaji
 
Siku Nyerere atakapofufuka, yaani miaka elfu mbili ijayo!
 
Hata arudi nani, mtaishia kuota tu.....suluhisho, acheni kuwapa kura mafisadi zenu.
 
Ng'wenetu kiondo ukiangwa nenife ulaya senibuee x 2
Waana wadodo wakwea madeghe
naiya ukiwa ngwenetu kiondo

nimekumbuka mbaaali enzi zile za milima ya kwetu
 
Back
Top Bottom