Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
- Thread starter
- #21
andika jina kule kwenye no then ni PM no yako ya cm plz
Namba za simu unataka tuziweke hapa hadharani au tukutumie kwenye PM? Maana wengine namba zetu za simu zimekaa shaghala bhagala, hazina mvuto......! Yaani ni mchanganyiko wa maharage na mchuzi, sio zile za 0718 200555