IVI kwanini wanaume ni waoga kuoa

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,325
1. wanaume wanapenda uhusiano wa kirafiki, wa kumaliza haja yake aende kwake.
2. wanapenda wakiwa na uhitaji wa ile kitu basi iwepo njia rahisi ya kuipata, kama kutafuta mwanamke na kushiba.
3. inapo tokea mwanamke serious anae taka kuolewa, ndoo utajua neno kupenda linalo toka kinywani mwa mwanaume ni kitu kingine.
4. kama wanawake wasinge saidia hili, ni wanaume wachache sana wangeoa.

swali. kwanini wanaume wanaogopa sana to commit themselves kwa dnoa?
 
twende taratibu hapa.....unawaongelea wanaume kama wanaume.....au wanaume kama wavulana......?
 
..............nadhani wengi wanaogopeshwa na kuongezeka kwa spidi ya wanawake wanaopenda sana kuolewa. wengi wa wanawake siku hizi mkianza relation wiki mbili tu utasikia ''unanioa lini?''. Simaanishi kuwa wanawake wote wana kajitabia haka ndo maana wapo pia wanawake wengi wanaoolewa wenye kujua nini maana mapenzi, ndoa na kuishi na mwanaume.
 
Kwa nini unafikiri kutotaka kuoa ni lazima kuendane na woga?

Inawezekana wanaooa ndo waoga, wanaogopa jamii.

Na wasiooa ndo hawaogopi kusemwa, kuvunjiwa heshima kwamba hawajaoa, kuwekewa maswali uanaume wao etc.
 
..............nadhani wengi wanaogopeshwa na kuongezeka kwa spidi ya wanawake wanaopenda sana kuolewa. wengi wa wanawake siku hizi mkianza relation wiki mbili tu utasikia ''unanioa lini?''. Simaanishi kuwa wanawake wote wana kajitabia haka ndo maana wapo pia wanawake wengi wanaoolewa wenye kujua nini maana mapenzi, ndoa na kuishi na mwanaume.

Spidi ya wanawake wanaopenda kuolewa inatokana na spidi ya wanaume waongo kuongezeka.. Ndio maana bi dada inabidi aulize unanioa lini? Wanaume wa siku hizi wanapenda kumega na kukimbia... Wengi wao sio waoaji kama mleta maada alivyosema..
 
Wanaume wanaogopa zaidi wanawake wanaotamani sana ndoa kuliko kuogopa ndoa zenyewe.

Mwanamke akianza kuitaka/omba/lazimisha sana ndoa mwanaume anashtuka,anasema hayuko tayari alafu anakimbia. Mwanaume huyo huyo anaweza akakutana na mwanamke mwingine na ndani ya muda mfupi akaanza YEYE kuongelea ndoa na kufanya kweli kabisa. Hapo inawezekana kwamba mwanaume hakuwa amempata anayeona anamfaa kwa zaidi ya kuburudishana weekend au aliogopa uhitaji wa mwanamke kuhusu ndoa asije akajitia kitanzi kwa mtu ambae anachotaka ni kuolewa bila kujali na nani/kwa sababu zipi n.k
 
Uwoga wao ni kukwepa majukumu tu, we mwambie mwanaume una TRUST FUND muoane mbona fasta tu! Wanaume ukiwa unawategemea mbona usiulize harusi!
 
Hata walioko kwenye ndoa, hawataki wake zao wa ndoa, utasikia wanasingizia chochote kile ile wale ma house girls. hata mke awe na penzi kubwa kiasi gani bado hawa vidume watataka kutest nje.
 
Spidi ya wanawake wanaopenda kuolewa inatokana na spidi ya wanaume waongo kuongezeka.. Ndio maana bi dada inabidi aulize unanioa lini? Wanaume wa siku hizi wanapenda kumega na kukimbia... Wengi wao sio waoaji kama mleta maada alivyosema..
Uyasemayo sio kweli neylu, hata hao wanaume unaowaongela hapo sio wanaume bali ni vivulana kama preta alivyosema hapo awali kwenye mchango wake. Kama hao wanawake wanataka kuolewa na vivulana basi wajue wataendelea kudanganywa hivyo hivyo hadi siku ya mwisho, vivulana vyenyewe vinategemea sabuni, hela ya vocha, nguo n.k kutoka kwa wazazi, atapata wapi uwezo na ujasiri wa kuoa? Cha msingi dada zetu tulieni muwapo kwenye mahusiano na wanaume ambao mna uhakika kweli wapo commited, habari ya ndoa hufuata baadae na sio kunilazimisha nikuoe, lazima nitajiuliza kunani hapa huyu mdada anataka kuficha nini nisikijue fasta kutoka kwake?
 
Uyasemayo sio kweli neylu, hata hao wanaume unaowaongela hapo sio wanaume bali ni vivulana kama preta alivyosema hapo awali kwenye mchango wake. Kama hao wanawake wanataka kuolewa na vivulana basi wajue wataendelea kudanganywa hivyo hivyo hadi siku ya mwisho, vivulana vyenyewe vinategemea sabuni, hela ya vocha, nguo n.k kutoka kwa wazazi, atapata wapi uwezo na ujasiri wa kuoa? Cha msingi dada zetu tulieni muwapo kwenye mahusiano na wanaume ambao mna uhakika kweli wapo commited, habari ya ndoa hufuata baadae na sio kunilazimisha nikuoe, lazima nitajiuliza kunani hapa huyu mdada anataka kuficha nini nisikijue fasta kutoka kwake?

Mmmh... Mie hapa siongelei hivyo vivulana ndugu, naongelea wanaume wenye kuanzia 32 and above.... Wenye kazi zao na maisha yao..! Ila Kama definition yako ya vivulana ni kwenye hiyo miaka niliyoitaja, itanibidi niwe mpoleee...
 
twende taratibu hapa.....unawaongelea wanaume kama wanaume.....au wanaume kama wavulana......?

wavulana ni subset ya wanaume. na wanaume wengi tu (mimi mmoja wao) wanaoa/walioa wakiwa wavulana
 
simply put women luk for the security that marrige provides. unfortunately that security for now means having cash which alot of men have found out is the key to getting women to open their legs.
 
ujue hatujapata wa kuoa. Tofauti iko hapa, mwanamke yupo tayari kuolewa na yeyote yule hata kama haja mpenda ilimradi anaweza kumuhudumia, na mwanaume anaangalia nani atamfaaa kwenye kifungo cha maisha. amini nakwambia mwanaume asipompata Mwanamke anaye stahili akajikuta ameangukia kwa gumegume, basi maisha yake ni mafupi na machungu sana hapa duniani.
Bilashaka ukiona sielekei kukuoa ujue hujatimiza vigezo.
 
Muulizeni Zitto swali hilo, halafu pamoja na woga wote huo anataka tumchague awe raisi wetu! pfuuuu hilo litakuwa ni kosa lingine kwa watanzania.
 
Wa kuolewa wenyewe wapo basi!!???

Wao wanawaza zaidi lile tendo la kuolewa ili nao wasidharaulike, but majukum ya ndoa hawako tayari kwayo.

Unataka nikuoe wakati kupika hujui, nguo unafuliwa na housegirl, n.k.

Mtasubiri sana kwa kweli!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom