Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
1. wanaume wanapenda uhusiano wa kirafiki, wa kumaliza haja yake aende kwake.
2. wanapenda wakiwa na uhitaji wa ile kitu basi iwepo njia rahisi ya kuipata, kama kutafuta mwanamke na kushiba.
3. inapo tokea mwanamke serious anae taka kuolewa, ndoo utajua neno kupenda linalo toka kinywani mwa mwanaume ni kitu kingine.
4. kama wanawake wasinge saidia hili, ni wanaume wachache sana wangeoa.
swali. kwanini wanaume wanaogopa sana to commit themselves kwa dnoa?
2. wanapenda wakiwa na uhitaji wa ile kitu basi iwepo njia rahisi ya kuipata, kama kutafuta mwanamke na kushiba.
3. inapo tokea mwanamke serious anae taka kuolewa, ndoo utajua neno kupenda linalo toka kinywani mwa mwanaume ni kitu kingine.
4. kama wanawake wasinge saidia hili, ni wanaume wachache sana wangeoa.
swali. kwanini wanaume wanaogopa sana to commit themselves kwa dnoa?