CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
we meza lyrics hizo ukamwimbie mtoto.
Husninyo full mcharuko loh!
we meza lyrics hizo ukamwimbie mtoto.
Vikojoleo?Kwani vikojoleo ndio nini?
Aisee dadah! Aisee dadah! Moyo wangu umekudondokea... Naomba tuchanganye mate na tubambanishe vikojoleo
we meza lyrics hizo ukamwimbie mtoto.
Husninyo full mcharuko loh!
naenda kusema kwa paw... Kusemaaaaaa..
Nifundishe namna ya kumwimbia basi!
heeee! Mwishoni utaniambia nije nikutongozee. Tafuta beat litakaloendana.
Kwetu ma-born again hamna kitu rahisi kama kutongoza maana unamwambia tu "nimepata maono kuwa leo usiku ni lazima tulale wote ili maandiko yatimie". Hadi leo mie nishapata maono ya watu 15.
mh!!! siamini husninyo, wewe mtu akikwambia hivo uta-tick?"Unajua dada,.. Mwenzio kila nikikuona kile kiungo changu kinachopump damu kinafanya nduh nduh nduh nduh!..... Sijui kinakuhitaji kimapenzi. Hata sijui yaani"
Afu mkikutana unamuulizaje, "IMEINGIA", au?