Wakubupa
Member
- Oct 21, 2015
- 26
- 9
naomba ushaul ninamke ambeye nampenda kwel hadi yy anajua hilo tunaye kama mwaka na nusu ila hatujabarikiwa mtoto
sk moja nilichukua sm yake ili nikaitengeneze, ila nikakuta sms amei send ikisema [ninamimba yako ile sk tulio kuwa wote umenipatia] nikajawa na jaziba nikaivunja lain yake ya sm, jb nililojibiwa et kwani ukiharibu laini ndo mwisho wa mambo
jaman nipeni ushaul nifanyeje ukwl nampenda sana
sk moja nilichukua sm yake ili nikaitengeneze, ila nikakuta sms amei send ikisema [ninamimba yako ile sk tulio kuwa wote umenipatia] nikajawa na jaziba nikaivunja lain yake ya sm, jb nililojibiwa et kwani ukiharibu laini ndo mwisho wa mambo
jaman nipeni ushaul nifanyeje ukwl nampenda sana