Ivi furaha ya maisha ni nin?

Jaman,ebu nsaidieni mwenzenu,furaha ya maisha ikoje,maana sielewi kabisa nin moyo wangu unataka.kwa kifupi nimekua na kulelewa katika familia yenye kipato cha daraja la kati ambapo yani zile shida ndogo ndogo cjawahi kukumbana nazo ktk maisha yangu,nikija ktk suala la love affairs,ninao gals wa kutosha na wenye mvuto tu,bt nahis bado kuna kitu ninakikosa maishan mwangu.nsaidien kuniambia,true happness of life inaletwa na nin?

nakushauri uza mali zako zote na nusu yake uwapatie maskin, kwan utakuwa umejiwekea hazina yako isioza mbinguni. Nafsi yako inaonekana kuna kitu inakitamani na unakijua, kaa jiulize
 
Mkuu usije ukajinyonga tu maana watu wakishaanza kujiuliza hivi maisha yana raha gani hufuatiwa na kuanza kujiuliza hivi what im i living for ,then wanajiua.Mim nakuomba jaribu kupenda msichana mmoja ambaye na yeye atakupenda,ukiwa na wengi wataishia kukufanyia vitu vya ajabu ila mmoja anaweza kukufanya ukawa mwenye furaha sana.
Nahisi kuna mengi yakuandika hapa ila nimechoka sana leo,bali nakuombea upate raha ya maisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom