Unaumwa homa za msimu wewe.simba timu ya waarabu watakua wametangaza TVZ kaangalie kule :biggrin1:
simba timu ya waarabu watakua wametangaza TVZ kaangalie kule :biggrin1:
simba timu ya waarabu watakua wametangaza TVZ kaangalie kule :biggrin1:
simba timu ya waarabu watakua wametangaza TVZ kaangalie kule :biggrin1:
Yaani Simba imeshinda Taifa
lakini hawatangazi! Ikifungwa au kutoa Droo ndo wa kwanza kutangaza. Kwa
Yanga mko Mbeeele @#x6F..... Zenu!
Umeona ee! Lakini sio kosa lao mtangazaji mwenyewe anaitwa KANGA,sory, KITENGE unategemea nn? Watake wasitake simba ndio kinara.Yaani Simba imeshinda Taifa lakini hawatangazi! Ikifungwa au kutoa Droo ndo wa kwanza kutangaza. Kwa Yanga mko Mbeeele @#x6F..... Zenu!
Yaani Simba imeshinda Taifa lakini hawatangazi! Ikifungwa au kutoa Droo ndo wa kwanza kutangaza. Kwa Yanga mko Mbeeele @#x6F..... Zenu!
Wameniuzi sana tena Mnyama kapiga mtu 3 Taifa wako kimya! Alafu Yanga na Maafande wa Oljoro uko Arusha eti taarifa wanayo, Ooovyo!Umeona ee! Lakini sio kosa lao mtangazaji mwenyewe anaitwa KANGA,sory, KITENGE unategemea nn? Watake wasitake simba ndio kinara.
Wameniuzi sana tena Mnyama kapiga mtu 3 Taifa wako kimya! Alafu Yanga na Maafande wa Oljoro uko Arusha eti taarifa wanayo, Ooovyo!
yanga umoja wa mataifa huwezi kuilinganisha na simba wahuni wa uarabuni
Umeona ee! Lakini sio kosa lao mtangazaji mwenyewe anaitwa KANGA,sory, KITENGE unategemea nn? Watake wasitake simba ndio kinara.
Unaumwa homa za msimu wewe.
Una BCBG wewe...!!!"
Hivi watanzania tumefikia ubaguzi huu? Mmh eeeh mungu tusaidie
Kama haikuhusu potezea sio lazima kuchangia
Unaumwa homa za msimu wewe.
Una BCBG wewe...!!!"
Hivi watanzania tumefikia ubaguzi huu? Mmh eeeh mungu tusaidie
Kama haikuhusu potezea sio lazima kuchangia
:biggrin1: msimaindi sana nyie ni watani wetu wa jadi so kutaniana kumo punguzeni hasira mtakufa siku si zenu
:biggrin1: waeleze hao...wanaona aibu, watangayika wazima mnashangilia timu ya UAMSHO