kauzu
Member
- Oct 4, 2010
- 74
- 3
jamani mimi ndiye nilituma kuwa CCM, imeshinda kwa mujibu wa msimamizi wa uchaguzi ila kwa sasa watu wamejaa hapa kwa chulu wanasema tbc na itv wametangaza kuwa CHADEMA imeshinda kwa hiyo watu wanashanglia balaa,na gari ya mama MTEMA imepita ikipeperusha bendera,ok nitaendelea kuwapa taarifa zaidi kwani nitaelekea kibaoni nipate habari kamili:israel::israel::israel::israel::israel::israel: