Andikeni kasema nini si visentensi vifupi vifupi vya mawazo au maoni yenu lakini bila maneno ya Ndugai. Sasa mnataka wasioangalia Dakika 45 mnataka wachangie nini?
Hee eeti ntakuwa na wivu kusema wengine wanapataje posho duu hii nchi ina sili nyingi sana. Ndungai anasema watz hatujui tu kuwa kunawatu wanapata zaidi ya laki mbili duu i hate magamba.
tuache ushabiki kwahil namupa5 ametowa pendekezo iudwe tume kuweka wazi mishahala yote ya watumishi ambao mishahala inatokana na kodi za wa nanchi anasema watu wanapata mishahala mikubwa tofatinikubwa mishahala iwe wazi toka chini hadi juu
Acheni kawaida ya kukimbilia kuanzisha thread kutoka kwenye TV au Radio halafu hamsemi wahusika wanasema nini. Hivi mnafikiri watu wote wanaangalia au wanasikiliza vipindi hivyo?
Jifunze kwa wanaJf waliowatangulia au kwenye post za mwaka jana mwanzoni na kurudi nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.