Wanajf,hapa Dar hizo stations zinaonekana leo? maana kwenye kingamuzi changu hazionekani.
Subili wanao tumia ving'amuzi watakujuza
TCRA ni kikundi cha kutetea haki za watoa hudumaIna maana TCRA wamekaa kimya tu huku hawa wachina wakiendelea kutufanyia usanii? Kwa mara nyingine, where is TCRA?
kama wanawa beep nyie simuwatwangie.walikuwa wanatubeep!wameshatoa