Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,435
- 113,444
Mpaka sasa ITV ndio inaongoza kwa viewership kwenye local channel ikifiatiwa na TBC. ITV inaongoza kwa viewership sio kwa sababu ndio inapendwa sana, bali kwa sababu ya mazoweya. ITV inaitumia supremacy hii kutoza ngarama kubwa kwa vipindi na matangazo yake huku wakifanya kazi kwa mazoea kwa kujiaminisha wakwanza ni wakwanza tuu. Wanapaswa kuwaangalia TVZ ambao ndio wakwanza kweli, hivi sasa wako wapi.
Ukweli ni kuwa kuendesha TV Station profitably hapa nchini ni ngumu ndio maana vituo vina unganisha nguvu ili kushare cost. Ukiritimba wa vituo vya TV unamalizika rasmi 2014 wakati nchi imehama toka analogy ya sasa kwenda digital, hivyo kazi za Vituo itakuwa ni kuprovide contents tuu hali itakayopelekea hata JF kuzindua channel yake, makanisa na channel zao hata vi production houses vidogo kama PPR vitarusha matangazo yao hali itakayoilazimisha ITV kuingana na Star na kupunguza ngarama za matangazo yake or face extinction.
Kituo pekee ambacho ndio most promising ku survive bila jasho ni TBC tuu, kwa kuwa kiko spoon fed na hazina at the same time upendeleo kwa matangazo ya serikali.
Nawaombeni sana tusiwalaumu watangazaji, ni watu wa kuhurumiwa tuu kwa sababu hawapati malipo kulingana na jasho lao. They are simply over exploited, underpaid, overworked na demoralized with no any sort of incentives, unategemea nini kwa watu wa aina hii!.
Ukweli ni kuwa kuendesha TV Station profitably hapa nchini ni ngumu ndio maana vituo vina unganisha nguvu ili kushare cost. Ukiritimba wa vituo vya TV unamalizika rasmi 2014 wakati nchi imehama toka analogy ya sasa kwenda digital, hivyo kazi za Vituo itakuwa ni kuprovide contents tuu hali itakayopelekea hata JF kuzindua channel yake, makanisa na channel zao hata vi production houses vidogo kama PPR vitarusha matangazo yao hali itakayoilazimisha ITV kuingana na Star na kupunguza ngarama za matangazo yake or face extinction.
Kituo pekee ambacho ndio most promising ku survive bila jasho ni TBC tuu, kwa kuwa kiko spoon fed na hazina at the same time upendeleo kwa matangazo ya serikali.
Nawaombeni sana tusiwalaumu watangazaji, ni watu wa kuhurumiwa tuu kwa sababu hawapati malipo kulingana na jasho lao. They are simply over exploited, underpaid, overworked na demoralized with no any sort of incentives, unategemea nini kwa watu wa aina hii!.