Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,548
Prog. ya udhalilishaji ni ile ya EATV na siyo ile ya ITV!. EATV inaendeshwa na binti, sasa kitendo cha wao kualikwa kwa mara ya kwanza, tena kufanya kazi ya baba!, wakajituma vilivyo ili kuonyesha uwepo wao na kumuipress bosi mtoto na big boss wakaishia ku overdo!. Wasemehe maana walifanya in goodfaith!Mkuu mimi sijamlaumu Mengi hata mahali pamoja na ndio maana nimesema ITV nikijua kuna uongozi na kuna wanaofanya maamuzi ys moja kwa moja ingekuwa Mengi ningetaja moja kwa moja Mengi,ila watu wameng'ang'ania
mara sijui wivu kwa Mengi mara nimetumwa na Manji vitu vya ajabu kabisa.
Watu wengi tunadhani kukosoa ni kuchukia,binafsi kwangu Itv ndio Tv yangu ya kwanza na bila kuangalia habari Itv naona bado sija angalia habari,lakini haya ndio maoni yangu juu ya swala hili hivyo kusema ni haki pia.
Kwa vile wenye ulemavu wenyewe hawajalalamika, nashauri kubali yaishe usije piga kelele mwishowe wenyewe wakalalamika kweli kuwa wamedhalilishwa!.