Mnahubiri kuuvunja Muungano. Hamtabaki salama-Mwalimu. Karibu waZanzibar elfu kumi wanakuja Dar na kurudi Znz kwa siku. Halafu Muungano hamuutaki! Kweli?
Yalipochomwa makanisa uliripoti?Au mkuki kwa nguruwe?unajua hii ni ajali,lkn kuchoma makanisa lilikuwa tukio la kudhamiria kabisa.