Kweli? Uliiangalia ITV taarifa ya habari ya jana saa2 usiku?Inaonekana ITV lilopokuja swala la Kuchoma makanisa ilivalia njuga na hata kufikia kupotosha watz.
Lkn kuhusu kuzama kwa MV SPICE na tukio hili la sasa ni tofauti kabisa inavyoripoti.
Breaking news ilikuwa kila wakati
Wkati wa tunaarifiwa uchomaji wa makanisa zanzibar. itv ilituma waandishi ndege nzima na Kukaa karibu na kila kanisa.
lkn Linapokua swala la majanga huko Zanzibar. itv Haina hata habari.
AU tuzo ya Udkta wa Biblia aliokabidhiwa Mwenyekiti mtendaji ?