Itv na tbc acheni unafiki wa kisiasa kwa kuipendelea ccm arumeru mashariki

landiis

Member
Jan 30, 2012
8
2
Vyombo vya habari vya ITV na TBC ni kero kwa wananchi wanaopenda kuona haki inatendaka katika uchaguzi mdogo Arumeru Mashariki. Vyombo hivi vinaipendelea ccm kwa kuonyesha kwa muda mrefu kampeni zake na CDM Ikionyeshwa kuwa kwa sekunde tena bila ya wasikilizaji, hii ni kudhalilisha uandishi wa habari. ACHENI KUIPENDELEA CCM na CDM NANYIE MJIPANGE SAWA SAWA HATA CCM WAKIGAWA FEDHA WATU WA MERU NI WAELEWA.
 
Kwa nini vyama vya upinzani vinavyoshiriki Meru wa tafute ukweli kuuliza Habari Leo ,Daily news na TBC1 ijieleze kwa nini wanaonyesha shughuli za chama kimoja kwa maandishi au kuitisha press conference waelez e wananchi kwamba kinachotoewa na vyombo hivyo sio hali halisi kuliachia hivi vyombo vya serikali wanaona hawawajibiki
ITV wanajikomba kuogopa kukosa kazi za serikali ngumu kweli kufanya siasa za ushindani na chama dola
 
Waanze tu kujiorodhesha, SAA YA UKOMBOZI IMEFIKA

Hilo limeonekana na linakera wengi mno nisiwadanganye ...linakera mno.la kusikitisha CHADEMA wanaonesha kule ambako hakuna mkusanyiko wa watu kuku ssm wakichukuwa sehemu zenye mkusanyiko mkubwa hasa marudio ya siku ya ufunguzi wa kampeni.

JOYCE MHAVILE na DEO RWEYUNGA take care /mmepewa nn????? .Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote.

Mr.MENGI...

Ulikuwa unakwenda vema sasa hivi hakuna kitu....pamoja na kupewa degree ya Dk .hivi majuzi hukustahili kwa sababu dhana ya kutenda haki huisimamii.

......................mjirekebishe....................

HAKUNA KITU KIBAYA KAMA KUJIJENGEA CHU
 
Vyombo vya habari vya ITV na TBC ni kero kwa wananchi wanaopenda kuona haki inatendaka katika uchaguzi mdogo Arumeru Mashariki. Vyombo hivi vinaipendelea ccm kwa kuonyesha kwa muda mrefu kampeni zake na CDM Ikionyeshwa kuwa kwa sekunde tena bila ya wasikilizaji, hii ni kudhalilisha uandishi wa habari. ACHENI KUIPENDELEA CCM na CDM NANYIE MJIPANGE SAWA SAWA HATA CCM WAKIGAWA FEDHA WATU WA MERU NI WAELEWA.


Wapendelee wasipendelee ushindi uko pale pale
 
mlisha elezwa anzisheni tv yenu,nyie bado mnapendelea kulialia,mbona vyama vingi duniani kote vina tv zao CDM si chama cha kulia lia tena.

TV husaidia sana hususani ktk maswala kama haya tena mkiwa na tv yenu ni mda wote bila kulazimishwa mnaonyesha kampeni zenu

kila siku tunasikia CHADEMA TV lakini ktk ving'amuzi hatuioni,wenenu wana TBC na ITV nyie anzisheni yenu
 
Sikuwahi kufikiri kwamba Bw RM(Reginad Mengi) anaweza kuungana na CCM kufisidi haki na ustawi wa watanzania hadi sasa ninaposhuhudia ITV inavyo shiriki kampeni za arumeru!
Mtu anaweza kuamini sasa kwamba RM anafurahia watanzania kuendelea kunyonywa na kukandamizwa na mfumo uliopo ili yeye aweze kneemeka. Sasa anatumia vyombo vyake kuulinda mfumo uliopo.

Misaada yake mingi kwa wananchi haitakuwa na tofauti yoyote na misaada ya mfuga kuku kwa kuku wake lakini mwishowe huwaua na kuwala,na akitokea mtu wa kupinga kuawa na kuchinjwa kwa kuku, kuleta ukombozi na uhuru wa kuku basi mfuga kuku atapingana nae kwa nguvu zote!
Ndio, Mengi hataki 'kuku' wake wakombolewe asije kosa kitweo na umaarufu wake wakuwa mlishaji mwema na bora wa kuku tanzania.

Nampa changamoto ya kweli, ajitetee vinginevyo mimi na pengine na wengine wataamini hivyo.
 
Kweli wanaboa, hata kama CCM imelipia matangazo hayo lakini wakuu wa vyombo vya habari hivyo wajue wananchi hawapendezwi na tabia hiyo inayoweza kutafisiliwa kama ya upendeleo. Pamoja na mapungufu TV ya Taifa inatakiwa kuwa kati, isiwe kama driver amabaye wakati wote utaonekana anaendesha gari kushoto ama kushoto.
 
Kweli wanaboa, hata kama CCM imelipia matangazo hayo lakini wakuu wa vyombo vya habari hivyo wajue wananchi hawapendezwi na tabia hiyo inayoweza kutafisiliwa kama ya upendeleo. Pamoja na mapungufu TV ya Taifa inatakiwa kuwa kati, isiwe kama driver amabaye wakati wote utaonekana anaendesha gari kushoto ama kushoto.



,,,,,,,,,,,,Sumu yake ni kuhama na kuangalia CHANNEL nyingine tu,hata ka haioneshi habari za campaign,inauma sana tunalimwa TAX kubwa kwenye kila kitu,halafu ikija kutulisha habari,chomba cha UMMA ka TBC kinapendelea wazi wazi kuwarusha wale waleee!!!! aaaah.
 
tbc ni malofa kweli kweli, jaman ts our ryt time 4 chadema kuanzisha tv yetu ya ukombozi.
 
Hilo limeonekana na linakera wengi mno nisiwadanganye ...linakera mno.la kusikitisha CHADEMA wanaonesha kule ambako hakuna mkusanyiko wa watu kuku ssm wakichukuwa sehemu zenye mkusanyiko mkubwa hasa marudio ya siku ya ufunguzi wa kampeni.

JOYCE MHAVILE na DEO RWEYUNGA take care /mmepewa nn????? .Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote.

Mr.MENGI...

Ulikuwa unakwenda vema sasa hivi hakuna kitu....pamoja na kupewa degree ya Dk .hivi majuzi hukustahili kwa sababu dhana ya kutenda haki huisimamii.

......................mjirekebishe....................

HAKUNA KITU KIBAYA KAMA KUJIJENGEA CHU

dada joyce na deo pamoja na MSHANA wa tbc msiwasikilize jamaa wa humo kwani wana mapenzi na cdm ambayo mpaka sasa wamechemsha ,waandishi wanu wanafanyakazi nzuri sana kule arumeru mashariki tatizo kubwa cdm hawajajipanga ebu tuangalie taarifa ya jana kwa itv kulikuwa na habari ya mkutano wa hadhara wa ccm na baadaye ya cdm mgombea akitembelea wagonja sasa kiasi cha kwamba kutokana na nassari kukosa watu katika mikutano amehamua kwenda katika hospitali na sokoni sisi tulioko huku tunafahamu ebu check mikutano ya ccm mbuguni na makiba na watu kama wanabisha subirini mikutano ya ccm ya king'oroi na kikatiti wiki end hii kusema kweli jamaa wamejiandaa
 
Back
Top Bottom