Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,261
- 7,195
Kwa kweli ITV nimeipenda ktk kurusha habari live na vipindi vya Masako kwani huwa maswali yake tofauti na waandishi wengine tz huwa yana kuwa mind provoking na mwansiasa kilaza jasho linatoka na hata akiachiwa punzi wasikilizaji wanajua kashindwa.
Cha kusikitisha ni ktk maswali yao ya kipima joto, na vipindi vyao vingine km malumbano ya hoja, vinakuwa na mada zinazonpa taabu kuzipenda au hata kuamini kuwa zimetunngwa na mtu anayejua nachotaka. Nyingi zina haya:
-Too obvious na swali linalofuatia linakuwa awkward hata km statement ya mwazo imelitoa thamani swali linalofautia.
-Maswali mengine ni too directing and one one way ingawa wao wanayapa 3 options.
-wale jamaa wao wa mitaani huwa wanahoji watu wa aina moja, either asiojua kabisa na wa upande mmoja.au hata mmoja halafu wanaconclude kuwa maoni wa baadhi ya watu jijini.
Cha kusikitisha ni ktk maswali yao ya kipima joto, na vipindi vyao vingine km malumbano ya hoja, vinakuwa na mada zinazonpa taabu kuzipenda au hata kuamini kuwa zimetunngwa na mtu anayejua nachotaka. Nyingi zina haya:
-Too obvious na swali linalofuatia linakuwa awkward hata km statement ya mwazo imelitoa thamani swali linalofautia.
-Maswali mengine ni too directing and one one way ingawa wao wanayapa 3 options.
-wale jamaa wao wa mitaani huwa wanahoji watu wa aina moja, either asiojua kabisa na wa upande mmoja.au hata mmoja halafu wanaconclude kuwa maoni wa baadhi ya watu jijini.