ITV na Kibonzo tata!!!!

Losambo

JF-Expert Member
Nov 8, 2011
2,612
864
Vibonzo au kwa lugha nyingine vikatuni hutumika mara nyingi kutoa ujumbe mbali mbali katika jamii yetu ikiwemo kuelimsha, kuonya, kufurahisha n.k

Katika muda wa siku mbili yaani Jumatatu na Jumanne niliona kibonzo cha Nathan Mpangala kisha nikashindwa kuelewa hasa alikusudia nini? Ni Simba na Yanga kweli?

Photo0575.jpg

Tatizo la lugha hapo yaani wanakuamuana mnaionaje?
 
kwani kukamuana wewe unakuelewaje..? hiyo hasa hasa ina husika na wewe unaelewa nini..!
 
umeme ukatike halafu wakamuane.(umeme si ukakatika utafikiri tanesco walijua kuwa leo temba ntaua by temba)
 
Nadhani ikiwa kuna mechi ya usiku kati ya simba na yanga alafu umeme ukakatika itakuwaje? Kukamua, mechi,..... ni misimu ambayo inaweza kutumika popote kutegemea mktadha na kusudi la mtoa ujumbe. lkn kwa sasa kukamuana ni tata zaidi kutumika hapa.
 
Back
Top Bottom