MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
ITV ndiyo nilikuwa naitegemea kuonyesha hitimisho la kampeni za uchaguzi wa Arumeru na nikawa nimejiandaa mbele ya screen yangu kama kawaida. Cha ajabu nikasikia na hapa ndo mwisho wa taarifa za kitaifa na hawakugusia kabisa habari za Arumeru ni kwenye subtitle tu wameandika .
ITV imeacha kabisa kuonyesha kitu ambacho waTZ wengi walikuwa wanangojea kukiona kwa hamu kubwa na kwa hivyo mmetuudhi sana na huu ninauita ukatili au unyanyasaji wa watazamaji.
Kwa nini siku zote mmetangaza taarifa habri za Arumeru lakini leo siku ambayo ni nyeti sana mkaacha maksudi kutupa watazamaji tuone hitimisho la kampeni why?.
Au mmebanwa na magamba mkajidai kuwa neutral kutoonyesha habari zote. Hamjui mmewakatili sana waTZ kwani hakuna mtu asiyejua ikiwa ni pamoja na ninyi kuwa hii ni news muhimu kwani uchaguzi huu unafuatiliwa na waTZ wengi na mikoa yoote.
Eleweni mnajimaliza na ninaomba itokee TV nyingine ili kumaliza huu ukiritimba ambao hauna maana yoyote wala maslahi kwa Watz
ITV imeacha kabisa kuonyesha kitu ambacho waTZ wengi walikuwa wanangojea kukiona kwa hamu kubwa na kwa hivyo mmetuudhi sana na huu ninauita ukatili au unyanyasaji wa watazamaji.
Kwa nini siku zote mmetangaza taarifa habri za Arumeru lakini leo siku ambayo ni nyeti sana mkaacha maksudi kutupa watazamaji tuone hitimisho la kampeni why?.
Au mmebanwa na magamba mkajidai kuwa neutral kutoonyesha habari zote. Hamjui mmewakatili sana waTZ kwani hakuna mtu asiyejua ikiwa ni pamoja na ninyi kuwa hii ni news muhimu kwani uchaguzi huu unafuatiliwa na waTZ wengi na mikoa yoote.
Eleweni mnajimaliza na ninaomba itokee TV nyingine ili kumaliza huu ukiritimba ambao hauna maana yoyote wala maslahi kwa Watz