Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ktk taarifa ya habari ya sa 2 usiku, walichukua dk. takribani 5 kuonesha mazishi ya Baba yake Erick Shigongo, maswali nayojiulza ni kuwa,
Huyu mzee alikuwa maarufu kiasi cha kupewa airtime mda wote huo?
Au ndo kwa sababu Mh. Mengi alihudhuria?
Mkuu umesahau kuwa Mengi ana mwandishi wa habari wa kwake peke yake ambaye ana monitor nini anafanya kwa siku na kuleta habari IPP media. Hapo issue si umashuhuri wa Baba yake Erick Shigongo, issue ni Mengi kafanya nini leo
Kwahiyo ngoma droo?Sasa tatizo liko wapi hapo?. kwenye taarifa hiyo Mbona mie nimepata habari ya maandamano na mkutano wa Chadema wa pale moro iliyodumu kwa dakika 7.
Si ungeangalia TBC1??????
Mi sijahuzunishwa,na ilo tukio bt nimehuzunishwa na aliyetangulia mbele ya haki.Lakni,kama mimi ningekuwa mtoa mada ningeileta ktk logic hii;BABAKE James,alikuwa nani mpaka,Mamia, vigogo baadhi,makada wa nyinyiem hata Waziri haudhulie Lile tukio?Nawapongeza VIONGOZ wa Parokia wa sehemu husika,wamemtuma Katekista.ingawa ametema cheche!Rip Mareh.
Leo ktk taarifa ya habari ya sa 2 usiku, walichukua dk. takribani 5 kuonesha mazishi ya Baba yake Erick Shigongo, maswali nayojiulza ni kuwa,
>Huyu mzee alikuwa maarufu kiasi cha kupewa airtime mda wote huo?
>Au ndo kwa sababu Mh. Mengi alihudhuria?
Kwahiyo msiba wa mtu maarufu ndio unapaswa kuonyeshwa kwa dk tano si ndio? Ebu tuache ukoloni, kwani kuonyesha msiba wa mtu asiyefahamika ni vibaya?
Leo ktk taarifa ya habari ya sa 2 usiku, walichukua dk. takribani 5 kuonesha mazishi ya Baba yake Erick Shigongo, maswali nayojiulza ni kuwa,
>Huyu mzee alikuwa maarufu kiasi cha kupewa airtime mda wote huo?
>Au ndo kwa sababu Mh. Mengi alihudhuria?