Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,195
mjadala unaendelea live na hoja ni kama inavyosomeka hapo juu..
hivi changamoto muhimu zote zimeisha hapa Tanzania, mpaka tunaingia kwenye mchakato wa kutafuta vazi la Taifa? hatuna kitu cha kufanya? maji yapo? barabara zipo? shule je? hospital? madawa na huduma za afya? umasikini uliokithiri? wote wanaojihusisha na upuuzi huu ni wapumbavu!!!!!
Kama wanasikia huko, gwanda la CHADEMA linatosha sana tena litaitambulisha vema nchi yetu kuwa ya watu wasiotaka mzaha, kazi-kazi!
Hebu baelezeeni!
Kama wanasikia huko, gwanda la CHADEMA linatosha sana tena litaitambulisha vema nchi yetu kuwa ya watu wasiotaka mzaha, kazi-kazi!
Hebu baelezeeni!
bhaeleze habho.
Gwanda linatosha kabisa, sema wanaona aibu tu kulitangaza...